Kazi ya ununuzi na ugavi

Feb 18, 2017
63
62
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30,nina diploma ya manunuzi na ugavi kutoka chuo cha utumishi wa umma.
Nina uzoefu wa kutosha kutokana na kufanya kazi sehemu tofauti ikiwemo halmashauri ya busokelo,tarura pamoja na tazara. Pia field nilizozifanya wakati ninasoma chuo.mazingira rahisi kwangu ni arusha na kilimanjaro. Naomba kuwasilisha.asanteni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom