Natafuta kazi

Natafuta kazi

Jojo12

New Member
Joined
Oct 24, 2018
Posts
4
Reaction score
0
Habari wana jf.mimi ni kijana wa kike umri miaka 27 nipo mbeya mjini natafuta kazi ya uhasibu nimemaliza diploma katika chuo cha utumishi wa umma.
 
Habari wana jf.mimi ni kijana wa kike umri miaka 27 nipo mbeya mjini natafuta kazi ya uhasibu nimemaliza diploma katika chuo cha utumishi wa umma.
Utumishi wa umma wanatoa corz ya Uhasibu?
 
Ndio wanatoa ila sio kwa campus zote mfano magogoni hawatoi ni kwa campus ya tanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom