Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,303
- 3,423
Nipo dar es salaam, ni kijana wa kiume ,nahitaji kazi halali ,iwe dar au pembezon mwa dar, nina elimu ya miaka mitatu kwenye magari na mitambo pia nina ujuzi wa Magari na utengenezaji wa mashine mbalimbali(kudesign na kufanya maintanance)
Nahitaji kazi za KUUZA MADUKA YA VIPURI VYA MAGARI, AU KUREPAIR, au kazi yoyote halali
Naomben msaada wenu,
Pm ipo wazi
Nahitaji kazi za KUUZA MADUKA YA VIPURI VYA MAGARI, AU KUREPAIR, au kazi yoyote halali
Naomben msaada wenu,
Pm ipo wazi