Natafuta kazi

Natafuta kazi

Nipo dar es salaam, ni kijana wa kiume ,nahitaji kazi halali ,iwe dar au pembezon mwa dar, nina elimu ya miaka mitatu kwenye magari na mitambo pia nina ujuzi wa Magari na utengenezaji wa mashine mbalimbali(kudesign na kufanya maintanance)

Nahitaji kazi za KUUZA MADUKA YA VIPURI VYA MAGARI, AU KUREPAIR, au kazi yoyote halali

Naomben msaada wenu,
Pm ipo wazi
 
Nipo dar es salaam, ni kijana wa kiume ,nahitaji kazi halali ,iwe dar au pembezon mwa dar, nina elimu ya miaka mitatu kwenye magari na mitambo pia nina ujuzi wa Magari na utengenezaji wa mashine mbalimbali(kudesign na kufanya maintanance)

Nahitaji kazi za KUUZA MADUKA YA VIPURI VYA MAGARI, AU KUREPAIR, au kazi yoyote halali

Naomben msaada wenu,
Pm ipo wazi
Je, unaweza kuendesha pikipiki?
 
Kuna kazi ipo sharti ujue kuchuma mboga
Wenzio wanashida kweli unaketa masihara
Nafurahia kijana mwenzetu wa kiume anapojitokeza kutafuta kazi na watu wakatoa respond nzuri kama hivi! Maana tulishajenga hulka ya kujinyanyasa gender yetu wenyewe kwa kusaidia ule upande mwingine kuliko upande wetu wa ubavubwa kulia...

Ubarikiwe kiongozi upate.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom