Natafuta kazi.

helime

Member
Mar 13, 2017
6
5
Habari zenu wakuu kwa majina yangu naitwa helime octavian ni msichana mwenye umri wa miaka 23 nimesoma chuo kimoja kilichopa hapa dar es salaam college of business education.

Nilisoma cheti ya kozi hyo lakini nikashindwa kuendelea na diploma kutokana na mambo fulani ya kifamilia ila nampango wa kurudi mwezi wa tisa wa sasa nipo nyumbani.

Natafuta kazi yoyote ile iwe ya supermaket iwe ya duka yoyote ntafanya isiwe ya kazi za ndani au ya bar asanteni wakuuu.
 
Mwenyezi Mungu akutangulie na kukubaliki ukafanikiwe dadangu ila nadhan kuweka namba ya simu sisemi ni vibaya ila nafikiri utapata usumbufu usioendana na hitaji lako.
 
Duh kwa Urembo wako kukosa kazi sidhani... ila Usawa huu ni mgumu Nakushauri ukae home ujiandae na Chuo tu urelax akili itulie ukirejea chuo uwe fresh...

Kipicha chako kama nilishawahi kukuona pale The Chef pride usiku ukinunua msosi wa happy hours au nimekosea?
 
Duh kwa Urembo wako kukosa kazi sidhani... ila Usawa huu ni mgumu Nakushauri ukae home ujiandae na Chuo tu urelax akili itulie ukirejea chuo uwe fresh...

Kipicha chako kama nilishawahi kukuona pale The Chef pride usiku ukinunua msosi wa happy hours au nimekosea?
Asante my kwa ushauri ila maisha ya kukaa tuu nyumbni t z real hard alafu ukizingatia mm ni msichana kuna vishawishi vingi.....Pia hapna utakuwa ulinifananisha
 
Asante my kwa ushauri ila maisha ya kukaa tuu nyumbni t z real hard alafu ukizingatia mm ni msichana kuna vishawishi vingi.....Pia hapna utakuwa ulinifananisha
Una umri gani??na labda unauzoefu wa kazi gani ambayo uliwah ifanya??
 
Asante my kwa ushauri ila maisha ya kukaa tuu nyumbni t z real hard alafu ukizingatia mm ni msichana kuna vishawishi vingi.....Pia hapna utakuwa ulinifananisha
Pia ukiendelea kuchat na mimi lazima nikupe vishawishi Vyangu:D
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom