Natafuta kazi yoyote relating to my career nina bcom ya finance na cpa mod e,nisaidieni wana jf

Nimehangaika sana bila mafanikio,plse

... usikate tamaa mdogo wangu, kazi ni mingi sana kwa course hiyo uliyosomea, -u just keep on applying for any vacant Post between Accounting and Finance and a job is some where there for you, -i mean dont just confine yourself to Finance Posts, after all, as far as i know, Finance discipline is one step ahead of Accounting ..., -someome correct me if i'm wrong ...
 
... usikate tamaa mdogo wangu, kazi ni mingi sana kwa course hiyo uliyosomea, -u just keep on applying for any vacant Post between Accounting and Finance and a job is some where there for you, -i mean dont just confine yourself to Finance Posts, after all, as far as i know, Finance discipline is one step ahead of Accounting ..., -someome correct me if i'm wrong ...
Uko sawa ndugu, ofisi yake iko sehemu fulani sema tu hajaijua. so, ili afahamu ilipo hiyo kazi yake inabidi aendelee kuomba tu! Kaka we kaza moyo, kazi ni ngumu kweli kweli cha muhimu jiandae vyema kwenye pofessional yako uwe fit sana ili siku ukiitwa kwenye interview uonyeshe uwezo wako hasa. Kama mwanfunzi wa Bcom nategemea ujue kuanzi IAS 1 hadi IAS 41, na kuanzia IFRS1 hadi IFRS 13. ukiitwa kwenye interview ya Auditing basi base maelezo yako kwenye ISAs. Jaribu kuwa competent kiasi kwamba uweze kuwa unaintergrate Accounting na Auditing. Kwa mfano ukijua kuwa IAS 8 inazungumzia "change in accounting policy, estimate and error" na ukishaijua nje ndani basi kwenye auditing inabidi ujue kuwa IAS 540 "Auditing of estimates" inasemaje.kwa jinsi hiyo unaweza kulink hizo knowledge na kumuonyesha kuwa wewe uko safi.

Na unapokuwa unafanyiwa interview jaribu kuwa unachomeka maelezo ya kwenye standard ili umuonyeshe mwajiri kuwa unajua. kwa mfano mtu akikuuliza, "You as an accountant, tell me how to establish cost of the builiding at the year end", basi sehemu kama hii ndo ya kuwaonyesha kuwa wewe siyo book keeper ila ni accountant. Unaanza na IAS 16 (Propert Plant and equipment), then IAS 23 (borrowing cost) IAS 36(empairment), then unailink na IAS 40 ( investment propert), unaweza kuiusisha na IFRS 5 (non current asset held for sale and dis continuing operation, kwa kuonyesha unajua unaweza ukailink pia na IAS 20 (Goverment grants). hizo accounting standards zinaihusu kwenye cost of non current asset. na maswali mengine yote unaweza ukayajibu kwa staili hiyo hiyo. kama kwa kutumia IAS 37 (contingent assets, contingent assets and provision).

hata auditing ni hivyl hivyo. chukua muda jua vitu. accounting is all about standards na interview nyingi za siku hizi zinawatafuta watu wanaojua vitu.

Nakushauri, usikariri, elewa concept ili usije ukaingia chaka. ukishajiamini kuwa uko safi nenda kwenye auditing firm
Nakutakia kila la kheri.
 
Uko sawa ndugu, ofisi yake iko sehemu fulani sema tu hajaijua. so, ili afahamu ilipo hiyo kazi yake inabidi aendelee kuomba tu! Kaka we kaza moyo, kazi ni ngumu kweli kweli cha muhimu jiandae vyema kwenye pofessional yako uwe fit sana ili siku ukiitwa kwenye interview uonyeshe uwezo wako hasa. Kama mwanfunzi wa Bcom nategemea ujue kuanzi IAS 1 hadi IAS 41, na kuanzia IFRS1 hadi IFRS 13. ukiitwa kwenye interview ya Auditing basi base maelezo yako kwenye ISAs. Jaribu kuwa competent kiasi kwamba uweze kuwa unaintergrate Accounting na Auditing. Kwa mfano ukijua kuwa IAS 8 inazungumzia "change in accounting policy, estimate and error" na ukishaijua nje ndani basi kwenye auditing inabidi ujue kuwa IAS 540 "Auditing of estimates" inasemaje.kwa jinsi hiyo unaweza kulink hizo knowledge na kumuonyesha kuwa wewe uko safi.

Na unapokuwa unafanyiwa interview jaribu kuwa unachomeka maelezo ya kwenye standard ili umuonyeshe mwajiri kuwa unajua. kwa mfano mtu akikuuliza, "You as an accountant, tell me how to establish cost of the builiding at the year end", basi sehemu kama hii ndo ya kuwaonyesha kuwa wewe siyo book keeper ila ni accountant. Unaanza na IAS 16 (Propert Plant and equipment), then IAS 23 (borrowing cost) IAS 36(empairment), then unailink na IAS 40 ( investment propert), unaweza kuiusisha na IFRS 5 (non current asset held for sale and dis continuing operation, kwa kuonyesha unajua unaweza ukailink pia na IAS 20 (Goverment grants). hizo accounting standards zinaihusu kwenye cost of non current asset. na maswali mengine yote unaweza ukayajibu kwa staili hiyo hiyo. kama kwa kutumia IAS 37 (contingent assets, contingent assets and provision).

hata auditing ni hivyl hivyo. chukua muda jua vitu. accounting is all about standards na interview nyingi za siku hizi zinawatafuta watu wanaojua vitu.

Nakushauri, usikariri, elewa concept ili usije ukaingia chaka. ukishajiamini kuwa uko safi nenda kwenye auditing firm
Nakutakia kila la kheri.

nashukuru sana wadau kwa ushauri wenu mzuri nitafanyia kazi
 
nashukuru sana wadau kwa ushauri wenu mzuri nitafanyia kazi

sasa kaka,kwa kipindi hiki ninazifahamu vizuri IAS na Isa zote coz nilizisoma sana nilipokuwa najiandaa na pepa ya nov 2011 mod f,so niende auditing firm kabla hawajatangaza kazi au
 
sasa kaka,kwa kipindi hiki ninazifahamu vizuri IAS na Isa zote coz nilizisoma sana nilipokuwa najiandaa na pepa ya nov 2011 mod f,so niende auditing firm kabla hawajatangaza kazi au

Kama uko safi na standards, basi we nenda personally kwenye auditing firm uombe internship. wanakuwa wagumu kutoa internship lakini we jaribu kufatilia. si lazima ukomae na big four hata zile nyingine unaweza kujaribu.
 
Sikiliza usitafute kazi uliyosomea wewe apply kazi yoyote ile ukishapata ukiwa ndani ya kazi itakuwa rahisi kupata ya kwako unayotaka. Kuna dada ni mwalimu ana Masters lakini aliapply admin assistant ofisini kwetu akapata baada ya mwaka zikatokea kazi akaapply internal, akawa Associate Director wa Health education. Tatizo sisi tunatafuta tu tulichosomea na hatutaki kazi za chini tunaona hazilingani na elimu zetu lakini ni nzuri kwa kuanzia.
 
Sikiliza usitafute kazi uliyosomea wewe apply kazi yoyote ile ukishapata ukiwa ndani ya kazi itakuwa rahisi kupata ya kwako unayotaka. Kuna dada ni mwalimu ana Masters lakini aliapply admin assistant ofisini kwetu akapata baada ya mwaka zikatokea kazi akaapply internal, akawa Associate Director wa Health education. Tatizo sisi tunatafuta tu tulichosomea na hatutaki kazi za chini tunaona hazilingani na elimu zetu lakini ni nzuri kwa kuanzia.

Tatizo ni hata izo nyengine ambazo sio taaluma yao unakuta hawapati. Mungu awatie nguvu, soko la ajira ni gumu sana kwa wahitimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom