Natafuta kazi yoyote ila mimi ni mwalimu..

The End..

JF-Expert Member
Aug 13, 2013
4,364
3,801
Habari zenu wana JF...

Daah wakuu maisha ya kitaa yamenishinda aisee. Naombeni mnipe kazi yoyote ile iwe kufundisha au kokote (isiwe ya ndani lakini). Kama kufundisha naweza Maths, ICT na Physics nina degree ya maths na ICT ila nina uzoefu pia kwenye physics!!!

Tusaidiane wadau, njaa kali huku!
 
naelewa sana.... ila mimi ndo ninayetafuta kazi sio wewe....!!!!
Acha kubagua kazi mkuu…… kumbka mchagua nazi huibukia koroma na kupitia hiyo kuuza chips wawez kutngeneza magape mengin mazur tu kupitia mazingira utakayokuwepo na ikitgemea ww una elimu ya chuo kikuu na pia utakua unauzia watu wa kariba tofautu so kupitia kuelewan na,wtu unawez tngeneza michongo mingine mingi tu mkuu…!!
 
Acha kubagua kazi mkuu…… kumbka mchagua nazi huibukia koroma na kupitia hiyo kuuza chips wawez kutngeneza magape mengin mazur tu kupitia mazingira utakayokuwepo na ikitgemea ww una elimu ya chuo kikuu na pia utakua unauzia watu wa kariba tofautu so kupitia kuelewan na,wtu unawez tngeneza michongo mingine mingi tu mkuu…!!
upo sawa mkuu... acha nilifanyie kazi wazo lako... nashukuru kunipa mwanga!!!!!
 
Mkuu mbona huchangamki??? Jaribu kuzunguusha bahasha tena hususani kipindi hiki wengi wameacha kwenda kuriport government.

All the best
mkuu hapa jumatatu ijayo nakiamsha tena... sehemu nyingi nilipeleka wakaniambia wanasubiri ajira za serikali zitoke ili waamini kama siwatoroki... sasa ubaya serikali imeajiri 2015... sasa ngoja nikawaulize.. vp!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom