Mkuu uko mkoa gani?Kupika Chips unaweza? I will be paying you Tshs.10,000/day. Pale huwa tunauza hadi ndoo 5 kubwa za Viazi. Natafuta mtu
Mkuu uko mkoa gani?Kupika Chips unaweza? I will be paying you Tshs.10,000/day. Pale huwa tunauza hadi ndoo 5 kubwa za Viazi. Natafuta mtu
yaishe kwa amani sasa.... nina wasi wasi kuna raia watapigwa kiberiti kitaa...!!!!
Kama upo dar jaribu kuibuka st Anne Marie nlisikia wanatafuta watu wa hesabu kipind flan hvmkuu hapa jumatatu ijayo nakiamsha tena... sehemu nyingi nilipeleka wakaniambia wanasubiri ajira za serikali zitoke ili waamini kama siwatoroki... sasa ubaya serikali imeajiri 2015... sasa ngoja nikawaulize.. vp!!!!
Kupika Chips unaweza? I will be paying you Tshs.10,000/day. Pale huwa tunauza hadi ndoo 5 kubwa za Viazi. Natafuta mtu
Habari zenu wana JF...
Daah wakuu maisha ya kitaa yamenishinda aisee. Naombeni mnipe kazi yoyote ile iwe kufundisha au kokote (isiwe ya ndani lakini). Kama kufundisha naweza Maths, ICT na Physics nina degree ya maths na ICT ila nina uzoefu pia kwenye physics!!!
Tusaidiane wadau, njaa kali huku!
Habari mkuu, uko mkoa gani asee mkuuKupika Chips unaweza? I will be paying you Tshs.10,000/day. Pale huwa tunauza hadi ndoo 5 kubwa za Viazi. Natafuta mtu
Hii kazi naomba ka kuna nafasiKupika Chips unaweza? I will be paying you Tshs.10,000/day. Pale huwa tunauza hadi ndoo 5 kubwa za Viazi. Natafuta mtu
Maisha hajakugonga, bado unachagua kazihiyo hapana mkuu.. ahsante kwa kushiriki...!!!!
Yeye anataka kuishi dar huko walikompangia kolomije, mwakaleli, wangibata sijui wangimbuzi hakutaki...Wenzako si wameshaanza kuripoti vituoni? Wewe vipi mkuu, kulikoni? Tena mwalimu wa Physics na Hesabu kabisa
Wewe mtafuta kazi ni mjeuri sana wewe.naelewa sana.... ila mimi ndo ninayetafuta kazi sio wewe....!!!!
Hii iko wapi mkuuu nije mimi?Kupika Chips unaweza? I will be paying you Tshs.10,000/day. Pale huwa tunauza hadi ndoo 5 kubwa za Viazi. Natafuta mtu