Natafuta kazi yeyote

Natafuta kazi yeyote

Pia huwa naamini kuwa wanafki wapo kama nzi hutazama tuu palipo na ubovu
Ningekuwa wewe ningejizuia na maneno haya, Walau nikamilishe mission yangu kwanza! Anyways, Inawezekana wewe ni wale watu "wasiokopesha" lakini usisahau Kauli hutambulisha Tabia!
Kila rakheli!
 
Usimjaji mtu kwa vile unamuona muonekano wake tuu

Unaweza ukamuona mtu kavaa mlegezo ukadhani ni muhuni kumbe amevaa vile kwa lengo gulani kwa muda fulani

Unaweza muona Sheikh kanisani afu ukaona kama vile ni mnafiki kumbe uwezi jua ni kwanini yuko pale

But yote kwa yote asante kwa maono yako na ushaur wako
Unajianika sana hata kimaelezo, Sijakuhisi vibaya wala Vizuri wewe ni mtu Mwema sana kuliko wengine wote atakaepata nafasi ya kuwa nawe kwenye kazi atakuwa kapata bahati nzuri kweli.
 
Ningekuwa wewe ningejizuia na maneno haya, Walau nikamilishe mission yangu kwanza! Anyways, Inawezekana wewe ni wale watu "wasiokopesha" lakini usisahau Kauli hutambulisha Tabia!
Kila rakheli!
Ni kawaida yetu watanzania kutetea uov
Tunatabia ya kukatishana tamaa na kukosoana mno
Yani mtu awez kuona jambo jema akakosa baya atalitafuta tuu hata kama ni lauzushi

Sikupenda kauli alio itumia hata Raisi wetu huvaa kofia lakini mimi kuvaa kofia na kuigeuza nyuma imekuwa dhambi

Lakini icho kisiwe chanzo cha marumbano
Naomba radhi kwenu wadau
 
Back
Top Bottom