dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,399
- 19,418
Ile Gari yako, kama hujauza mpe kijana huyo,aifanye uberUmekula?
Ile Gari yako, kama hujauza mpe kijana huyo,aifanye uberUmekula?
sina elimu ya uderevaIle Gari yako, kama hujauza mpe kijana huyo,aifanye uber
HahahaaaUna akili sio wenzio wanawaza kubet,heshima hawana....juzi mmoja kanitishia kunikata mitama,kisa nilikua namwabia apunguze matusi,nikaishia ku cool down!
JE kipaumbele chako kinachothitisha kuwa unafaa kwa kazi fulani,kinachoweza kuleta tija katika kampuni?Hapana siweziii
Najielewa kuliko mnavyofikiria najua nnadhamana kubwa mno ya kutimiza ndoto zangu hivyo siwezi leta mzaha katika kazi
Nipe kazi na hutajutia nakuahidi
Ile Gari yako, kama hujauza mpe kijana huyo,aifanye uber
Sio nakuchunguza,kwenye ile thread ya mark x na crown athlete ipi nzuri ndio niliona comment yako kua unauza Gari sasa sijajua ni yako au wewe dalal tuHahahaa kumbe we jamaa huwa unanichunguza leo nimejua, dawa yako iko jikoni we ngoja tu.
Sio nakuchunguza,kwenye ile thread ya mark x na crown athlete ipi nzuri ndio niliona comment yako kua unauza Gari sasa sijajua ni yako au wewe dalal tu
Ninachoamini mimi ni uadilifu na kuleta mawazo mapya katika kampuni ili mradi kampuni iweze kusonga mbele zaid maana bila ya mimi(mfanya kazi?) Kuwa makini na kazi yangu naamini kampuni itashindwa kuendelea na kifuatacho ni kibarua kuota nyasi ama hatua mbaya zaidi ya kampuni kufaJE kipaumbele chako kinachothitisha kuwa unafaa kwa kazi fulani,kinachoweza kuleta tija katika kampuni?
inna nimesha msabahi, hilo Gari me siliwezi ungekuwa na ist angalau nimnunulie Inna maana analihitajiHahahaa udalali nimeanza lini? We jamaa acha ujuaji kwanza umemsalimia Inna? Nipe pesa nikuachie ile Crown.
Hatatuharibia mabinti zetu?
Kwa maneno haya dogo kazi umekosa.Pia huwa naamini kuwa wanafki wapo kama nzi hutazama tuu palipo na ubovu
Kijana Samjela Jr , changamkia hii nafasi. Pia toa shukurani kwa huyu aliyekujali na kukupa huu mwanga.*NAFASI ZA KAZI*
( Kampuni ya TIGO kanda ya Temeke )
Wapendwa humu ndani. Wanahitajika vijana zaidi ya 40 kwa ajili ya kufanya kazi kwenye kampuni ya Tigo kanda ya Temeke.
Yaani Team mpya ya vijana wa mauzo inatakiwa kuundwa. Team hii itaongozwa na Team Leader anaitwa *Jumanne Salum*
KAZI YA TEAM
1: Kuuza simu aina zote za tigo
2:Kuuza modem na vocha
3: Kusajili line za wateja wapya wa Tigo
------------------------------
*VIGEZO*
1. *Umri miaka 18 na kuendelea,*
2. *Ujue kusoma na kuandika,*
3. *Uwe na simu smartphone ndio kitendea kazi,*
4. *Utapewa maelekezo ya kufanya kaz ya kampuni ya tigo,*
-----------------------
*UTENDAJI KAZI*
1. *Unafika ofisini Tigo tawi la Temeke asubuhi unakunywa chai,*
2. *Kampuni ya tigo kanda ya temeke inayo gari mabasi matatu. Baada ya chai utaingia ktk gari na mtapelekwa kufanya mauzo na utarudishwa na gari hiyo pia*
Mawasiliano na Team Leader *Jumanne Salum* mpigie namba yake ni *0715601111*
*Kwa waishio Dar es salaam TU*
YapKijana Samjela Jr , changamkia hii nafasi. Pia toa shukurani kwa huyu aliyekujali na kukupa huu mwanga.
Sio Ujuaji bwana mkubwa unajikuna pale mkono unapofikaHahahaa Acha ujuaji Mbwana mdogo
Usimjaji mtu kwa vile unamuona muonekano wake tuuZamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kutazama watu na kuanza kuwachora kwenye akili yangu, yaani nilikuona hata nakutana na wewe naanza kusema huyu mtu anaweza kuwa na tabia hii na hii na kweli ikawa hivyo nilivyokuwa nadhani.
Huwa nafanya huu uchunguzi ninapokuwa Kwenye maeneo yenye watu wengi, Ninatazama hiyo picha kinachokuja akilini sikielewi sanaa.
Kila la Kheri Mkubwa wangu kweny utafutaji.