Natafuta kazi ya unesi

Natafuta kazi ya unesi

Wewe ndio msemaji wake au umeamua tu kuandika?Wewe unaweza kuwa shem wangu?
Ndugu usibishane na hawa watoto watakuharibia heshima yako bure...
Ngoja nikupe acc yake ya insta ujue ni mtu wa aina gani
a47bc5153b66000e1729b9458b4dedf1.jpg
 
Natafuta kazi ya unesi popote ilipo tafadhali msisite kunitaarifu.

Mimi ni binti wa miaka, 23 cjaolewa.

Nimesomea nursing nilikuwa natafuta kazi ili nijiingzie kipato hapa mjini
asante ...Tangzo ili usisite kumtarif mwenzio
Hujaweka kama ni registered or not au elimu yako ni ipo ila umeweka HAUJAOLEWA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom