Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,531
- 105,224
Mkuu.....ukimsaidia kazi mtoto wa kike hata siku ukikutana naye njiani atakuruka hakujui ngoja nipite nisiseme neno
Hawa viumbe tuliambiwa tuishi nao kwa akili.
Msaidie binti kupata kazi, kisha akisha pata weuna mkaushia na unaendelea na maisha mengine.
Tatizo sisi wanaume skuizi tumesha ona kwamba kwakua ajira zimekua tatizo, basi ndio tunatumia gape ili tuwafanye
alafu tunawatosa