asaprichie
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 297
- 238
hahahaa dooh ni balaaa
Yaani siku yangu imekuwa swafi kabisa,zawadi ya kuvamia treni kwa mbele ni kupata za uso namna hiyo!!!Wewe ndio msemaji wake au umeamua tu kuandika?Wewe unaweza kuwa shem wangu?
.........asante sana my cute masanjuo kwa sababu nilikuwa nimeshaanza kumshindwa huyu mdandia treni kwa mbele!
Huna adabu binti tena kuwa muangalifu kama unatafuta bwana utampata ila huna hadhi hata robo yakuwa na mzee wangu kwa hiyo jiheshimuSio Shem naweza pia kuwa mama ako mdogo yaan nikatoka na baba ako
Mnaonekana wote akili zenu fyatu ndio maana mnaelewana.Na kuanzia leo hata kwangu usikanyageYaani siku yangu imekuwa swafi kabisa,zawadi ya kuvamia treni kwa mbele ni kupata za uso namna hiyo!!!![]()
![]()
.........asante sana my cute masanjuo kwa sababu nilikuwa nimeshaanza kumshindwa huyu mdandia treni kwa mbele!
![]()

Teenagers wakishapaka mkorogo kidogo wanapata confidence yakusema chochote wakiamini wao wazuri sasa naona anaingia anga zisizoingilikaMkuu unatafuta kazi ya uness au kazi ya kutoka na Baba wa mtu
Mnaonekana wote akili zenu fyatu ndio maana mnaelewana.Na kuanzia leo hata kwangu usikanyage![]()
!!.......Wewe niponde utakavyo ila namshukuru Mungu kwa mara ya kwanza PM yangu leo imependeza sana kwa kweli!
Kwendraaaaaaa zako huko.......![]()
![]()
![]()
!!.......Wewe niponde utakavyo ila namshukuru Mungu kwa mara ya kwanza PM yangu leo imependeza sana jamani!
![]()

Kwendraaaaaaa zako huko.......![]()

wewe na katecno kako unataka PM... eboo
Sio Shem naweza pia kuwa mama ako mdogo yaan nikatoka na baba ako
Hata kuandika tu inakupa shida kwa hiyo nimeishaona level yako ilipoishia kwa hiyo kuendelea kujibishana na wewe ni kukosa kazi.Jiheshmu ww unaeongea pumba uliyatak ukiendlea utakul mengi
mkuu humu kuna madada na washkaji kibao nishawapaga michongo ila mademu kwasasa "no"Mkuu.....
Hawa viumbe tuliambiwa tuishi nao kwa akili.
Msaidie binti kupata kazi, kisha akisha pata weuna mkaushia na unaendelea na maisha mengine.
Tatizo sisi wanaume skuizi tumesha ona kwamba kwakua ajira zimekua tatizo, basi ndio tunatumia gape ili tuwafanye![]()
alafu tunawatosa
Hivi masanjuo ndio weye kwenye pic au ... Maana pic yako ni interview tosha unaweza pita au laaaaNatafuta kazi ya unesi popote ilipo tafadhali msisite kunitaarifu.
Mimi ni binti wa miaka, 23 cjaolewa.
Nimesomea nursing nilikuwa natafuta kazi ili nijiingzie kipato hapa mjini
asante ...Tangzo ili usisite kumtarif mwenzio
