muhcrazy tz
Member
- Sep 24, 2021
- 11
- 0
Mimi kijana wa miaka 23 npo dar es salam
Natafuta kazi ya udereva mwenye uhitaji niko
Nina ujuzi wa ufundi magari wa miaka 3
Madaraja yangu A A2 B D E
Nina elimu ya kidato cha nne nipia nimesomea mafunzo ya veta ufndi magari nikasoma basic driving veta .
Natafuta kazi ya udereva mwenye uhitaji niko
Nina ujuzi wa ufundi magari wa miaka 3
Madaraja yangu A A2 B D E
Nina elimu ya kidato cha nne nipia nimesomea mafunzo ya veta ufndi magari nikasoma basic driving veta .