Natafuta kazi ya quality control(mkemia) au lab technician

Natafuta kazi ya quality control(mkemia) au lab technician

Tommy 911

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2019
Posts
639
Reaction score
575
Habarini wakuu. Mimi ni quality control lab technician nina bsc chemistry pia Nina uzoefu wa mwaka na miezi minne katika steel industry. Natafuta kazi viwandani,migodini kote nafit. Ukinisaidia kuna pesa ya maji. Asanteni
 
Habarini wakuu. Mimi ni quality control lab technician nina bsc chemistry pia Nina uzoefu wa mwaka na miezi minne katika steel industry. Natafuta kazi viwandani,migodini kote nafit. Ukinisaidia kuna pesa ya maji. Asanteni
Watoto wa CNMS
Ile collage inaongoza kwa kuzalisha majobless Tz.

Anyway kila la kheri mkuu.
 
Back
Top Bottom