LOTTI masai
Member
- Aug 28, 2014
- 40
- 9
Mimi ni mkufunzi katika mojawapo ya vyuo vya serikali kilichopo hapa dar es salaam.lakini napenda kutafuta opportunity zaidi kwa sabb mishahara haitoshi na haitoshi kupata msingi hata wa kuanzisha kabiashara.Naomba nafasi ya kufundisha masomo ya social sciences ikiwemo communication skills,research methodologies nk.Malipo ni makubaliani tu