Rahmamohammed
Member
- Feb 23, 2018
- 34
- 13
Habari, naitwa farida naishi magomeni, nimesomea uuguzi na ukunga ngazi ya cheti, nafanya kazi sehemu yeyote kwa mawasiliano yang ni 0713959740
Mbeyamh , kumbe tupo wengi umesomea wapi ndgu yangu,
Wew ndo ujatuliaHujatulia wewe na number umesha toa arafu eti hutafuti mpezi get serious plz
Kazi za ndani upo tayar kama ndio pm me!Wew ndo ujatulia
Naweza lkn si yakulala, ni ya day...halafu naomb kujua ni dini IPI inazingatiwaKazi za ndani upo tayar kama ndio pm me!
Nikuungishe.
Ila tunazingatia dini sana na mafunzo utapewa...
TOA HIYO AVATAR KWANZA!!!! INASOMEKA KUWA UNATAFUTA MPENZI .............Habari, naitwa Rahma,nina miaka 22.
Naomba msaada kwa anaeweza kunisaidia kupata kazi yeyote ya halali lkn iwe Dar es salaam, namba yangu 0782342046....lkn Nina diploma ya uwandishi wa habari. nikiwa nasubir cheti change sitaki kukaa bure kwasababu najitegemea...., ila Nipo serious jamani matani sitaki, nip dar ....halafu kuna baadhi ya watu tabia sio nzuri, utakuta ankufata pm au whsap n kuaza kukwmbia sijui nitumie picha zako .....jamn hiyo tabia ife ....unajiona hauna uwezo wa kunisaidia nibora utulie tu si kuaza kusumbuana:
Angalizo tu, Sitafuti mpenzi natafuta kazi, halafu sio tangazo naloliweka ni langu wengine wananiomba niwasaidie tu lkn hili ni langu.. Ahsanteni
DINI?Naweza lkn si yakulala, ni ya day...halafu naomb kujua ni dini IPI inazingatiwa
HUKU UNAMJIBU NANI MBONA KAMA BADALA YA KUJIBU PM UNAJIBU HAPA HAA HA HANaweza lkn si yakulala, ni ya day...halafu naomb kujua ni dini IPI inazingatiwa
Hujatulia wewe na number umesha toa arafu eti hutafuti mpezi get serious plz
HUKU UNAMJIBU NANI MBONA KAMA BADALA YA KUJIBU PM UNAJIBU HAPA HAA HA HA

Mkristo maana utapita kwenye training ya mafunzo ya kidiji na kujitambua.Naweza lkn si yakulala, ni ya day...halafu naomb kujua ni dini IPI inazingatiwa