Jamani habari mm ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nimesomea fani ya opareta mashine(fokolifti) kwa mwaka wa 4 sasa naombeni kwa mtu yoyote mwenye ndugu yake baba ake jamaa ambae anaofisi iwe kampun kiwanda au hata godaun naombeni mnisaidie kutafuta kazi nimehangaika sana elim yangu 4 nimesoma bandari college kwayoyote atakaeguswa na hili naomba msada no. 0714825892