hello wana jamvi,
Mimi ni muhitimu wa shahada ya Computer Engineering. Natafuta kazi kwenye field hiyo.
Nna ujuzi na uzoefu katika maeneo ya programming(VB.Net, java), website development, web applications, database design and administration.
Pia naweza kufundisha masomo ya IT na physics na hesabu.
Kujiajiri nimejaribu lakini nimekwama kutokana na kukosa working capital.
Atakaeweza kunipa kazi nitashukuru.
Pia, kama mtu anahitaji kuwa partner kwenye IT Business tunaweza kusaidiana (ninayo business plan, yeye akitoa mtaji mi ntafanya kazi full time).
Mimi ni muhitimu wa shahada ya Computer Engineering. Natafuta kazi kwenye field hiyo.
Nna ujuzi na uzoefu katika maeneo ya programming(VB.Net, java), website development, web applications, database design and administration.
Pia naweza kufundisha masomo ya IT na physics na hesabu.
Kujiajiri nimejaribu lakini nimekwama kutokana na kukosa working capital.
Atakaeweza kunipa kazi nitashukuru.
Pia, kama mtu anahitaji kuwa partner kwenye IT Business tunaweza kusaidiana (ninayo business plan, yeye akitoa mtaji mi ntafanya kazi full time).