saidi kalindura
Member
- Jan 26, 2015
- 41
- 13
Ndg wanajamii wenzangu naleta maombi kweni yeyote mwenye taarifa sehemu kuna nafasi kazi za dereva naomba anijuze tafadhali.Nna grade ONE na Two ya driving kutoka NIT pia elimu ya computer kutoka UDSM computing centre.na elimu ya kidato cha nne.Nna uzoefu wa miaka saba bila kusababisha ajari.mawasiliano Email.saidikalindura@yahoo.com