Natafuta kazi ya ya udereva

Natafuta kazi ya ya udereva

Habari waungwana. Naitwa saidi Rashidi.

Naleta kwenu ombi kwa yoyote mwenye bajaj au kuna MTU anamjuwa ana bajaj ya mkataba naomba aniunganishe nae sio lazima iwe mpya hata kama imetumika tutaangalia miezi tu.

Mimi nakaa dar es salaam wilaya ya ilala eneo LA pugu mtaa wa bombani.

Tuwasiliane namba yangu no. 0712378559
 
KAMA unaweza jaribu kwasiliana na watu....nasikia wanakopesha vyombo vya moto hadi magari namba zao ni 0800750228....bure
 
Habari JamiiForums

Natafuta Bajaji ya kufanyia kazi. Nipo tayari kwa mkataba au kawaida kuleta hesabu. Nina uzoefu.

Wadhamini ni wazazi wangu
Nina Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA)
Namba: 0674074563
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwa Dar
Nipo maeno ya Temeke
 
Habari JamiiForums

Natafuta Bajaji ya kufanyia kazi. Nipo tayari kwa mkataba au kawaida kuleta hesabu. Nina uzoefu.

Wadhamini ni wazazi wangu
Nina Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA)
Namba: 0674074563
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwa Dar
Nipo maeno ya Temeke
Ukikamilisha vile vitu???, Nitakupigia keshoo
 
Habari was ndugu Mimi no dereva was gari na ni mkazi wa pugu wilaya ya ilala mtaa wa bombani. Naleta kwenu maombi ya connection kwa yeyote mwenye gari aina ya Noah au sienta au zinazofanana na hizo. Naitaji kwa ajili ya kazi huku wilaya ya kisalawe na hesabu kwa wiki laki mbili 200000/=.Matengenezo kwangu wewe unachukuwa pesa kamili kama ilivyo.. Mawasiliano 0712378559. Pia WhatsApp hiyo hiyo.
 
Habari wandugu . naitwa saidi Rashidi napatikana wilaya ya ilala mkoa was dar as salaam mtaa wa bombani kata ya pugu. Naleta kwenu ombi langu LA kutafuta gari ya kazi aina ya Haice hesabu napeleka kwa siku 60. Kwa mwenye nayo au anamjuwa mwenyewe nayo na basi naomba tuwasiliane . 0712378559 pia hii no ipo WhatsApp pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom