beautifulonyinye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 726
- 478
- Thread starter
- #61
Asante mkuuPole sana binti. Ndiyo maisha hayo endelea kupambana
Asante mkuuPole sana binti. Ndiyo maisha hayo endelea kupambana
Karibu tenaAsante mkuu
Asante mkuu
Una laana wwAjira yako wewe ni ndoa tuu, ni pm.
Ok keep on, Time will tell!!Una laana ww
Safi vape vepeMkuu vp
Ulitoa macho ndo nikakuuliza VPSafi vape vepe
Alinishangaza alie taka 20000 au weweUlitoa macho ndo nikakuuliza VP
Mwanamke ni ndoa tu unavyoaminiOk keep on, Time will tell!!
Halafu eti.unamuambia time will tell as if umeshikilia destiny yake, usicheze wala kushindana na destiny ya mtu, mana Mungu ndie anaejua,.na zaidi usishindane na mwanamke.Ok keep on, Time will tell!!
Mkuu ndo maana mm nilimwambia ana laana watu kama Hawa wanakuwa wamelaaniwaMwanamke ni ndoa tu unavyoamini
japo najua ndoa ni lazima mana ni neno la Mungu
lakin kwa stail hio huez mpata mwanamke akakukubalia mwenye akili zake timamu. Yan unamuoa kwa sababu ana shida na unamkebehi unamuambia ajira yake ni ndoa tu halaf unamuambia akufate PM...ni mwanamke punguani ambae atafanya hivyo. Hahaha pole
kua mstaarabu kutafuta mke na kumuomba Mungu, na hili ni jukwaa la kazi, you want to find a wife , mna jukwaa lenu la love connect sijui .
Mimi kaniboa sema hawakosekani kwenye ukooHalafu eti.unamuambia time will tell as if umeshikilia destiny yake, usicheze wala kushindana na destiny ya mtu, mana Mungu ndie anaejua,.na zaidi usishindane na mwanamke.
Hiyo kweli imetokea wengi wako hivo humu mpaka nimeamua kuacha kutumia Jf kwa masuala ya kazNimeshawahi kusema tena kwamba kwa wadada mnaoomba kaz ni ngumu mkija huku mana wenye nia ya dhati ni wa kuwahesabu, wengi wao ni waroho wa ngono na wenye uchu na miili yenu na wanataka kutumia hio advantage ya kua mnatafuta kazi. Hamna kitu ni bora utafute namna nyingine ama uendelee tu kua na hope kwamba atatkea mwenye nia ya dhati, lakini kwa kwel.hapa ni ngumu.
Mrejesho wa nnusisahau kutoa mrejesho tafadhali
all the best
Njaa tu hakuna lolote mkuukuna mijitu imekaa kifake fake kutapeli tapeli ndo jadi njaa tu na tamaa
kama ulifanikiwa au la! endapo hautojaliMrejesho wa nn
Ningekuambia uweke ID na namba yake tumjue sema na mimi nina tabia kama zake iko siku nitaanikwaTena yuko humu