huu ulofa sasa mtu kaandika apo juu afu na ww unauliza ????? Kapi la viazi we...Umri
Jinsia
Unaishi wapi
Kwa UFUPI ungejazia na hayo
Nani alikwambia ukijiunga Jf itakuwa rahisi kupata michongo ya ajira na post zako 7 hizo???
huu ulofa sasa mtu kaandika apo juu afu na ww unauliza ????? Kapi la viazi we...
hahaPitia pitia zoomtanzania,ajirazetu.com na kwengineko utapata tuu bi dada