Fast Moving
New Member
- Nov 8, 2011
- 3
- 0
Jamani natafuta kazi nina Diploma ya Professional Computing and Information Technology
-Nina uwezo wa kutengeneza program za komputa (programming) kwa kutumia visual Basic na C++.Pia nina uwezo wa kutengeneza network (SOHO_Small Office and Home Networks).Pia nina uwezo wa kutengeneza Database (Database Management Systems)
So kama kuna office,bank or yoyote anahitaji mtu wa aina hiyo nitaarifuni
Ahsanteni.
-Nina uwezo wa kutengeneza program za komputa (programming) kwa kutumia visual Basic na C++.Pia nina uwezo wa kutengeneza network (SOHO_Small Office and Home Networks).Pia nina uwezo wa kutengeneza Database (Database Management Systems)
So kama kuna office,bank or yoyote anahitaji mtu wa aina hiyo nitaarifuni
Ahsanteni.