Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,579
- 8,055
Habari zenu wapendwa, nina umri wa miaka 22 mhitimu chuo kikuu kishiriki cha elimu ( Dar es salaam university college of education), bachelors of arts with education specialized in linguistics and history.
Currently i hold 4.1 G.P.A , natafuta kazi , pia niko tayari kujitolea kwenye kazi zinazohusu jamii nina ujuzi wa kutumia microsoft office pia i have some command in mandarin chinese ( level 2).
MREJESHO: Habari wakuu...nashukuru Mungu nilipata Kazi mwezi wa kwanza mwaka huu ...mwezi wa saba sasa kazini ...Nawashukuru sana kwa ushauri wenu...na wengine mlinipa nafasi ya kutuma màombi .Mungu awabariki sana...
Currently i hold 4.1 G.P.A , natafuta kazi , pia niko tayari kujitolea kwenye kazi zinazohusu jamii nina ujuzi wa kutumia microsoft office pia i have some command in mandarin chinese ( level 2).
MREJESHO: Habari wakuu...nashukuru Mungu nilipata Kazi mwezi wa kwanza mwaka huu ...mwezi wa saba sasa kazini ...Nawashukuru sana kwa ushauri wenu...na wengine mlinipa nafasi ya kutuma màombi .Mungu awabariki sana...