Natafuta kazi, nimesoma Shahada ya Maendeleo ya Jamii

Status
Not open for further replies.
Pole kwa magumu unayopitia,mkabidhi Mungu shida yako,hajawahi kushindwa atakuonyesha njia ya kutokea...
 
Ni kweli una shida lakini kuwa makini,futa no.yako hapo,narudia tena kuwa makini,binafsi ukiniuliza ni wapi unaweza kupata msaada wa uhakika mtaani au hapa JF nitakwambia mtaani,humu sio sehemu salama tena kwa binti kama wewe
Msaidie mkuu hiyo koneksheni ya mtaani
 
Nawasilimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania

Mimi ni binti umri wa miaka 25 kwasasa naishi dar es salaam ni mhitimu wa shahada ya maendeleo ya jamii ( degree in social development)

Nimejitokeza kwenu kuomba kazi / ajira/ kibarua chochote halali kwenu ndugu zangu

Nina uwelewa mkubwa na uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yoyote bila kusimamiwa ndani na nje ya nchi,mji hata vijiji

Nina weza kujieleza, kuongea mbele za watu na hata kujenga hoja na kutafuta suluhu mbali mbali kwa haraka

Nina zungumza lugha ya kiswahili na kingereza vema

Mimi ni msikivu Sana ,mpole na muelewa mno ...najua Nini Cha kuongea wapi na wakati gani

Nimewahi kufanya biashara kadhaa na Nina weza Sana masuala ya usimamizi wa miradi, mauzo na masoko kwa ujumla

Kwasasa nimekwama mno ,Sina kazi naishi kwa kubahatisha mno yaani naogopa kutenda dhambi kwa sababu za ugumu wa maisha

Nimewahi kujiajiri Mara nyingi na hata kumaliza kwangu chuo ni kutokana na biashara zangu nilizokuwa nafanya hapo nyuma na kuniwezesha kusoma kuanzia secondary mpka nimehitimu chuo

Sina wazazi Wala ndugu wa kunishika mkono maisha yamebana mno kwasasa Sina mtaji hata Mia kusema nianze upya kwakweli nimekwama hata mawazo yameisha kichwani kabisa nahitaji msaada Sana ndugu zangu ..asikudanganye mtu hata uwe bingwa vipi Kuna muda unaishiwa kila kitu mpaka FIKRA zinakwama kabisa kiasi kwamba mama ntilie namuona kanizidi Sana maarifa

Nimepanga Kodi inapiga hodi kuisha, kula kwa manati Yani tabu tupu

Nawaomba Sana Sana sana kina baba, mama, na ndugu wote watanzania wenzangu Kama unahisi unaweza kuniweka mahala nitashukuru mno maana nimepigania mno elimu yangu hii nikiamini siku moja ntacheka

NB kwa atakaeguswa PM yangu ipo wazi nahofia kuweka namba moja kwa moja

Natanguliza shukran za dhati
Kiazi kitamu.
 
Nawasilimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania

Mimi ni binti umri wa miaka 25 kwasasa naishi dar es salaam ni mhitimu wa shahada ya maendeleo ya jamii ( degree in social development)

Nimejitokeza kwenu kuomba kazi / ajira/ kibarua chochote halali kwenu ndugu zangu

Nina uwelewa mkubwa na uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yoyote bila kusimamiwa ndani na nje ya nchi,mji hata vijiji

Nina weza kujieleza, kuongea mbele za watu na hata kujenga hoja na kutafuta suluhu mbali mbali kwa haraka

Nina zungumza lugha ya kiswahili na kingereza vema

Mimi ni msikivu Sana ,mpole na muelewa mno ...najua Nini Cha kuongea wapi na wakati gani

Nimewahi kufanya biashara kadhaa na Nina weza Sana masuala ya usimamizi wa miradi, mauzo na masoko kwa ujumla

Kwasasa nimekwama mno ,Sina kazi naishi kwa kubahatisha mno yaani naogopa kutenda dhambi kwa sababu za ugumu wa maisha

Nimewahi kujiajiri Mara nyingi na hata kumaliza kwangu chuo ni kutokana na biashara zangu nilizokuwa nafanya hapo nyuma na kuniwezesha kusoma kuanzia secondary mpka nimehitimu chuo

Sina wazazi Wala ndugu wa kunishika mkono maisha yamebana mno kwasasa Sina mtaji hata Mia kusema nianze upya kwakweli nimekwama hata mawazo yameisha kichwani kabisa nahitaji msaada Sana ndugu zangu ..asikudanganye mtu hata uwe bingwa vipi Kuna muda unaishiwa kila kitu mpaka FIKRA zinakwama kabisa kiasi kwamba mama ntilie namuona kanizidi Sana maarifa

Nimepanga Kodi inapiga hodi kuisha, kula kwa manati Yani tabu tupu

Nawaomba Sana Sana sana kina baba, mama, na ndugu wote watanzania wenzangu Kama unahisi unaweza kuniweka mahala nitashukuru mno maana nimepigania mno elimu yangu hii nikiamini siku moja ntacheka

NB kwa atakaeguswa PM yangu ipo wazi nahofia kuweka namba moja kwa moja

Natanguliza shukran za dhati
Mimi Elimu yangu kidato cha nne lakini nilifanikiwa mpaka kufungua ofisi yangu (NGO's) nashangaa una shahada tena ya maendeleo ya jamii unatafuta kuajiliwa jamani..!!
 
Mimi Elimu yangu kidato cha nne lakini nilifanikiwa mpaka kufungua ofisi yangu (NGO's) nashangaa una shahada tena ya maendeleo ya jamii unatafuta kuajiliwa jamani..!!
Usiseme hayo....Kama umesoma vema nimeeleza mno nadhani utakuwa umenielewa
 
Mimi Elimu yangu kidato cha nne lakini nilifanikiwa mpaka kufungua ofisi yangu (NGO's) nashangaa una shahada tena ya maendeleo ya jamii unatafuta kuajiliwa jamani..!!

Sasa unamsimanga auu?? Mpe nafasi basi kwa hiyo NGO yako ajikimu kupitia wewe..
 
Usipende kuyatumia matatizo yako km sehemu ya kutia huruma mfano sina wazazi, kodi na kula maana huenda ungekua navyo hivyo ungekua unaandika michango yako katika hali yako halisi kifikra....

Wasifu wako nimeupenda km umeweza kuvuka kote huko mpk ulipofikia naamn kunakitu unaweza kufanya.

Kila la kheri
 
Daaah!pole sana Dada angu...ila usiweke namba tena hapa...watakusumbua wanaume wasio wazuri
Akianza kusumbuliwa,ndipo mafanikio yanapoanzia...mtu yeyote kuanzia miaka 18 yuko sahihi katika maamuzi yake, na akisumbuliwa ana maamuzi ya kukataa ama kukubali, wapo wanaotafuta wa kuwasumbua na hawapatikani.
 
Jaribu kuanisha kazi kama 20 unazoweza kufanya,ili mwenye nafasi sehemu yoyote aangalie ni wapi unaweza uka-fit
 
Ni kweli una shida lakini kuwa makini,futa no.yako hapo,narudia tena kuwa makini,binafsi ukiniuliza ni wapi unaweza kupata msaada wa uhakika mtaani au hapa JF nitakwambia mtaani,humu sio sehemu salama tena kwa binti kama wewe

Tulia mabaharia wafakamie kiazikitam
 
kuna outsourcing company na bpo km ison, erolink, na nyinginezo. hawa wanaajiri customer cares wa mitandao km airtel, voda, tigo nk. ison wapo faykat towers makumbusho imepakana na jengo la airtel. masaa 4 ya kazi end of month 200k salary kuna overtime kibao. kwa kuanzia unaweza fanya hivo wakti ukiendelea kunetwork na kupata financial capital. hata mi nmepiga community, bila experience kazi zake kupata tabu. Kwa wasifu km kweli una sifa hizo, hapa nilipo jishikiza licha ya maslahi kidogo kuna nafasi ya kukuza career yako sababu ya patnering NGOs angalau ni nyingi na kuna capacity building nyingi. sina uwezo wa kukupigia pande lkn nitakupa email ya mkurugenzi ujilipue mwenyewe
 
kuna outsourcing company na bpo km ison, erolink, na nyinginezo. hawa wanaajiri customer cares wa mitandao km airtel, voda, tigo nk. ison wapo faykat towers makumbusho imepakana na jengo la airtel. masaa 4 ya kazi end of month 200k salary kuna overtime kibao. kwa kuanzia unaweza fanya hivo wakti ukiendelea kunetwork na kupata financial capital. hata mi nmepiga community, bila experience kazi zake kupata tabu. Kwa wasifu km kweli una sifa hizo, hapa nilipo jishikiza licha ya maslahi kidogo kuna nafasi ya kukuza career yako sababu ya patnering NGOs angalau ni nyingi na kuna capacity building nyingi. sina uwezo wa kukupigia pande lkn nitakupa email ya mkurugenzi ujilipue mwenyewe
Nashukuru Sana ndugu yangu naomba niku pm
 
Usipende kuyatumia matatizo yako km sehemu ya kutia huruma mfano sina wazazi, kodi na kula maana huenda ungekua navyo hivyo ungekua unaandika michango yako katika hali yako halisi kifikra....

Wasifu wako nimeupenda km umeweza kuvuka kote huko mpk ulipofikia naamn kunakitu unaweza kufanya.

Kila la kheri
Sometimes tunaanisha matatizo ili kutia mkazo ndugu...angalau Kuna mwingine anashawishika kukusaidia akiona uzito wa hitaji lako

NB hakuna anaependa kujianika.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom