Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

jobfinder

Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
23
Reaction score
4
Wakuu mtaani hali mbaya sana,nimeomba sana kazi lakini sipati.kama kuna opportunity ya kazi wadau niunganisheni nijikwamue na huu umasikini.Yeyote mwenye nia ya kunisaidia ani pm nitampa details zangu.
 
Duu pole sana mkuu,endelea kutuma maombi bila kukata tamaa kozi yako nzuri sana.
 
Pole sana mkuu! Vumilia utapata kazi.
Kuna wakati nilidhani mtu aliyesoma electronics anaweza akajiajiri akiwa na laptop tu kwa kuanzia. Nadhani sikuwa sahihi.
 
Mkuu pole sana.kuna wakati huwa nawaambia vijana kuwa shule na mtaani ni dunia mbili tofauti japo zinafanana,kuathiriana na kukamilishana.
Ushauri wangu kwa sasa ukiwa bado unatafta uajiriwe hebu fanya yafuatayo
1.Kusanya wenzako watano wasio na kazi waliosoma kozi kama yako au IT.
2.Tafteni sh.30,000 kila mmoja(najua huna pesa ila unaweza kuomba kwa ndugu rafiki au jirani au kuangalia any redundant asset ulio nayo ambayo huna matumizi nayo na iuze upate mtaji).jumla mtakuwa na sh.150,000
4.Tafteni fremu uswahilini isiyozidi 50,000 kwa mwezi
3.Fungueni ofisi ya kutengeneza vifaa vya electronics kama simu,computer nk. Toeni huduma za kuinstall software za simu na computer, burn cd, uzeni vifurushi vya tigo,voda nk
4.Kila mmoja aombe kiti kimoja nyumbani na alete ofisini
5.In case kama mmoja wenu alibahatika kununua friji akiwa chuo au analo nyumbani,basi lileteni ofisini na uzeni maji ya kufunga ya viroba. Kila kiroba ni sh 100. Pesa mtakayoipata kwa kuuza maji itawasaidia kupata nauli.
Baada ya miezi mitatu njoo hapa itupe mrejesho.
Kila la kheri
 
Mkuu pole sana.kuna wakati huwa nawaambia vijana kuwa shule na mtaani ni dunia mbili tofauti japo zinafanana,kuathiriana na kukamilishana.
Ushauri wangu kwa sasa ukiwa bado unatafta uajiriwe hebu fanya yafuatayo
1.Kusanya wenzako watano wasio na kazi waliosoma kozi kama yako au IT.
2.Tafteni sh.30,000 kila mmoja(najua huna pesa ila unaweza kuomba kwa ndugu rafiki au jirani au kuangalia any redundant asset ulio nayo ambayo huna matumizi nayo na iuze upate mtaji).jumla mtakuwa na sh.150,000
4.Tafteni fremu uswahilini isiyozidi 50,000 kwa mwezi
3.Fungueni ofisi ya kutengeneza vifaa vya electronics kama simu,computer nk. Toeni huduma za kuinstall software za simu na computer, burn cd, uzeni vifurushi vya tigo,voda nk
4.Kila mmoja aombe kiti kimoja nyumbani na alete ofisini
5.In case kama mmoja wenu alibahatika kununua friji akiwa chuo au analo nyumbani,basi lileteni ofisini na uzeni maji ya kufunga ya viroba. Kila kiroba ni sh 100. Pesa mtakayoipata kwa kuuza maji itawasaidia kupata nauli.
Baada ya miezi mitatu njoo hapa itupe mrejesho.
Kila la kheri
. Ushauri mzuri but nimejikuta nacheka tu Hahahahaha
 
Good advice:
kuna kazi nyingi sana mtaani
1.akuna mafundi wengi wa LCD/LED TVs hii pia ni fulsa
2.Smart phone repair/software/apps installation
3.Unaweza pata sub contarcts toka makampuni ya simu for BTS,Genset maintenance

Mkuu pole sana.kuna wakati huwa nawaambia vijana kuwa shule na mtaani ni dunia mbili tofauti japo zinafanana,kuathiriana na kukamilishana.
Ushauri wangu kwa sasa ukiwa bado unatafta uajiriwe hebu fanya yafuatayo
1.Kusanya wenzako watano wasio na kazi waliosoma kozi kama yako au IT.
2.Tafteni sh.30,000 kila mmoja(najua huna pesa ila unaweza kuomba kwa ndugu rafiki au jirani au kuangalia any redundant asset ulio nayo ambayo huna matumizi nayo na iuze upate mtaji).jumla mtakuwa na sh.150,000
4.Tafteni fremu uswahilini isiyozidi 50,000 kwa mwezi
3.Fungueni ofisi ya kutengeneza vifaa vya electronics kama simu,computer nk. Toeni huduma za kuinstall software za simu na computer, burn cd, uzeni vifurushi vya tigo,voda nk
4.Kila mmoja aombe kiti kimoja nyumbani na alete ofisini
5.In case kama mmoja wenu alibahatika kununua friji akiwa chuo au analo nyumbani,basi lileteni ofisini na uzeni maji ya kufunga ya viroba. Kila kiroba ni sh 100. Pesa mtakayoipata kwa kuuza maji itawasaidia kupata nauli.
Baada ya miezi mitatu njoo hapa itupe mrejesho.
Kila la kheri
 
Wakuu mtaani hali mbaya sana,nimeomba sana kazi lakini sipati.kama kuna opportunity ya kazi wadau niunganisheni nijikwamue na huu umasikini.Yeyote mwenye nia ya kunisaidia ani pm nitampa details zangu.

Mkuu kwa ulichosomea sishangai kuna kijana alisomeshwa na mzazi wake TELECOM USA alitafuta kazi akapata airtel wakawa wanataka wampe 450k pm mzee wake anadai ametumia more than 200 m kumsomesha.ushauri wangu,Tafuta contacts za mikoani jishushe upate know how ya Agriculture industry. Halafu fanya mpango uinvest kwenye kilimo.
 
kama hautojari, viettel wanahitaji sana watu wenye taaluma kama yako, nenda ukapate experience ila jitahidi kuwa mvumilivu, wacheki kupitia email hii viettelshinyanga@gmail.com, kwa mkoa uliopo andika viettel...... gmail.com then tuma cv yako au request application form watakutumia utaijaza then utaitwa kny interview amby ni online,iq, it na proffesional then ukipita utaenda kwenye oral, kuwa serious na hili hautomaliza hata mwez huu utaajiriwa,utakayoyakuta yavumilie.
 
Last edited by a moderator:
Good advice:
kuna kazi nyingi sana mtaani
1.akuna mafundi wengi wa LCD/LED TVs hii pia ni fulsa
2.Smart phone repair/software/apps installation
3.Unaweza pata sub contarcts toka makampuni ya simu for BTS,Genset maintenance

Mkuu ni kweli mtaani kuna kazi nyingi za kufanya ikiwa tu graduates wetu wataacha ile superiority complex ya kujiona wao wamesoma hawawezi kufanya kazi za aina fulani. Watu wanapiga hela sana na hizi kazi ambazo graduates wanaziona kama sio za hadhi yao tena wanaozifanya wala si wasomi na wanaendesha maisha yao vizuri kuliko hata walioajiriwa.
if possible huyu kijana na wenzake waweke professional qualification zao hapo hapo watakapokuwa wanatoa huduma, nina hakika wateja wakijua wao ni wasomi na sio mafundi mchundo kama wengine nna hakika watapata connection nyingi tu.mfano waandikae;
MR.XXX Bsc.computer science(udsm)
MR.YYYY Bsc.electronics(st.joseph college of eng)
Naamini baada ya miez sita they will have another story to tell.
 
Mkuu ni kweli mtaani kuna kazi nyingi za kufanya ikiwa tu graduates wetu wataacha ile superiority complex ya kujiona wao wamesoma hawawezi kufanya kazi za aina fulani. Watu wanapiga hela sana na hizi kazi ambazo graduates wanaziona kama sio za hadhi yao tena wanaozifanya wala si wasomi na wanaendesha maisha yao vizuri kuliko hata walioajiriwa.
if possible huyu kijana na wenzake waweke professional qualification zao hapo hapo watakapokuwa wanatoa huduma, nina hakika wateja wakijua wao ni wasomi na sio mafundi mchundo kama wengine nna hakika watapata connection nyingi tu.mfano waandikae;
MR.XXX Bsc.computer science(udsm)
MR.YYYY Bsc.electronics(st.joseph college of eng)
Naamini baada ya miez sita they will have another story to tell.

Nakumbuka mwaka wangu wa kwanza kuingia mtaani nilipata chumba kwa mjomba mjini, nikarelax...nikambeba jamaa yangu mmoja ambaye alikuwa na malengo yake!

Kwa kuwa fani tuliyosoma inategemea sana matumizi ya Computer na kuprint jamaa akanunua vyote mimi niki relax tu, si nilikuwa kwa mjomba? Muda haukupita jamaa kachukua kaframe uswahilini karibu na shule na sehemu ya kusajilia simu lengo ikiwa ni kutoa pia huduma ya kuprint na kuwatolea watu copy ya vitambulisho ili wakasajili line za simu zao...

U kno what? Leo jamaa anaishi kwake, kajenga Kibada huko,ana kipato kizuri na wakati mwingine anawakopesha jamaa zake ambao mishahara ina utapia mlo na bado Stationary yake inapiga mzigo kweli kweli! Kwa hiyo ni vizuri somo la ujasiriamali tukalifaulu vyema kuzidi hata taaluma tulizozisoma ili kupunguza adha ya maisha wakati tukisubiri ama kuendelea na kazi!
 
Mkuu hata kama wanauwezo wa kutafuta hiyi 30,000 hawawezi fanya sababu akili za graduates wengi zimekaa kuajiriwa ajiriwa na majority yao walikua ni wakariri madesa..samahani kama nimekukwaza ewe mtafuta ajira...wakati tupo chuoni kuna room mate wangu mmoja alikua akisomea accounts lakini alikua anapenda sana mambo ya computer jamaa alianza kujifunza kudesign website na pia alikua anakisoma sana kitabu cha poor dad rich dad kipindi flani alipigiwa pande na baadhi ya malecturer kutengeneza website ya upande(school) aliyokua akiisomea jamaa walimlipa milioni 2 akafanikiwa kusajili kampuni baada ya ku graduate jamaa alikataa kutafuta kazi sasa hivi amepanga ghetto life linasonga vizuri binafsi nilichelewa kukisoma hicho kitabu ili na mimi nifanye kama jamaa by the time nimepata akili ya kujiajiri nikawa nimepata ajira sasa hivi nakisanya mpunga ninunue equipments nijiachie kwenye ulimwengu wa kutokua na uhakika wakupata hela(security) naamini nitaweza...
 
Mkuu pole sana.kuna wakati huwa nawaambia vijana kuwa shule na mtaani ni dunia mbili tofauti japo zinafanana,kuathiriana na kukamilishana.
Ushauri wangu kwa sasa ukiwa bado unatafta uajiriwe hebu fanya yafuatayo
1.Kusanya wenzako watano wasio na kazi waliosoma kozi kama yako au IT.
2.Tafteni sh.30,000 kila mmoja(najua huna pesa ila unaweza kuomba kwa ndugu rafiki au jirani au kuangalia any redundant asset ulio nayo ambayo huna matumizi nayo na iuze upate mtaji).jumla mtakuwa na sh.150,000
4.Tafteni fremu uswahilini isiyozidi 50,000 kwa mwezi
3.Fungueni ofisi ya kutengeneza vifaa vya electronics kama simu,computer nk. Toeni huduma za kuinstall software za simu na computer, burn cd, uzeni vifurushi vya tigo,voda nk
4.Kila mmoja aombe kiti kimoja nyumbani na alete ofisini
5.In case kama mmoja wenu alibahatika kununua friji akiwa chuo au analo nyumbani,basi lileteni ofisini na uzeni maji ya kufunga ya viroba. Kila kiroba ni sh 100. Pesa mtakayoipata kwa kuuza maji itawasaidia kupata nauli.
Baada ya miezi mitatu njoo hapa itupe mrejesho.
Kila la kheri

Nakusifu mtu anaweza akatoa kejeli ila mkuu ww ni kichwa kuna kitu kitu kikubwa sana nimepata hapa.
 
Mkuu pole sana.kuna wakati huwa nawaambia vijana kuwa shule na mtaani ni dunia mbili tofauti japo zinafanana,kuathiriana na kukamilishana.
Ushauri wangu kwa sasa ukiwa bado unatafta uajiriwe hebu fanya yafuatayo
1.Kusanya wenzako watano wasio na kazi waliosoma kozi kama yako au IT.
2.Tafteni sh.30,000 kila mmoja(najua huna pesa ila unaweza kuomba kwa ndugu rafiki au jirani au kuangalia any redundant asset ulio nayo ambayo huna matumizi nayo na iuze upate mtaji).jumla mtakuwa na sh.150,000
4.Tafteni fremu uswahilini isiyozidi 50,000 kwa mwezi
3.Fungueni ofisi ya kutengeneza vifaa vya electronics kama simu,computer nk. Toeni huduma za kuinstall software za simu na computer, burn cd, uzeni vifurushi vya tigo,voda nk
4.Kila mmoja aombe kiti kimoja nyumbani na alete ofisini
5.In case kama mmoja wenu alibahatika kununua friji akiwa chuo au analo nyumbani,basi lileteni ofisini na uzeni maji ya kufunga ya viroba. Kila kiroba ni sh 100. Pesa mtakayoipata kwa kuuza maji itawasaidia kupata nauli.
Baada ya miezi mitatu njoo hapa itupe mrejesho.
Kila la kheri

Kweli jf ni zaidi ya shule
 
Kiukweli JF ni zaidi ya shule na darasa lote kipindi hili lipo humu kiukweli tunahitaji tutambue fursa zinazotuzunguka sisi katika maeneo tunayoushi |nawashukuru sana JF lkn nitaendelea kuwashukuru zaidi kwani mmenisaidia sana na bado mnaendelea NASHUKURU
 
Kama jamaaa wanaweza kupata kipato kiasi walau naweza kuwasaudia kuwapa mzigo wa viroba vya unga wakauza kama mawakala wangu | kama wako tayari wanitafute lkn walau wawe na fremu pamoja na mtaji wa laki 5 kwa wote kama wanaaminiana nami nitawafundisha mbinu za ujasiriamali bure ili waweze kujiajili kama mawakala KARIBUNI sana wadau wote pamoja BA vijana wenzangu...
 
Mkuu pole sana.kuna wakati huwa nawaambia vijana kuwa shule na mtaani ni dunia mbili tofauti japo zinafanana,kuathiriana na kukamilishana.
Ushauri wangu kwa sasa ukiwa bado unatafta uajiriwe hebu fanya yafuatayo
1.Kusanya wenzako watano wasio na kazi waliosoma kozi kama yako au IT.
2.Tafteni sh.30,000 kila mmoja(najua huna pesa ila unaweza kuomba kwa ndugu rafiki au jirani au kuangalia any redundant asset ulio nayo ambayo huna matumizi nayo na iuze upate mtaji).jumla mtakuwa na sh.150,000
4.Tafteni fremu uswahilini isiyozidi 50,000 kwa mwezi
3.Fungueni ofisi ya kutengeneza vifaa vya electronics kama simu,computer nk. Toeni huduma za kuinstall software za simu na computer, burn cd, uzeni vifurushi vya tigo,voda nk
4.Kila mmoja aombe kiti kimoja nyumbani na alete ofisini
5.In case kama mmoja wenu alibahatika kununua friji akiwa chuo au analo nyumbani,basi lileteni ofisini na uzeni maji ya kufunga ya viroba. Kila kiroba ni sh 100. Pesa mtakayoipata kwa kuuza maji itawasaidia kupata nauli.
Baada ya miezi mitatu njoo hapa itupe mrejesho.
Kila la kheri

Ushauri ulio makini kabisa. Tusitegemee kuajiliwa tu, tubuni na njia zetu wenyewe za kujipatia pesa.
 
Pole sana ila ni kuvumilia huku unajishirikisha katika shughuli ndogo ndogo za kuongeza kipato,kwani mkuu umemaliza mwaka gani?
 
Back
Top Bottom