Natafuta kazi: Mipango, Ubunifu na Ushauri

Natafuta kazi: Mipango, Ubunifu na Ushauri

Docus 1

New Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
3
Reaction score
1
Mimi ni kijana natafuta kazi kwenye NGOs, Taasisi na Kampuni binafsi. Elimu yangu ni shahada ya 2 kwenye masuala ya Uchumi (Masters degree). Nina uzoefu wa kutosha, kwenye mipango, ubunifu, utekelezaji na ufuatiliaji (Monitoring, Evaluation , Strategy and Innovation).
Nina uzoefu pia wa Mipango ya Masoko, Bima na Uanzishwaji wa Miradi.
Tuwasiliane PM .Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom