DANIEL MAKADAM
Member
- Aug 23, 2014
- 5
- 1
Mimi ni graduate mwaka huu(2014) kwa Bachelor of Commerce in Banking and financial services(UDSM), na nina ulemavu wa miguu na ninaangaika sana kutafuta kwasababu wazazi ambao wangenisaidia walishafariki na sina mtu yeyote wa kuweza kunisaidia niweze kupata kazi.
Nawaomba watanzania wenye kazi kama ya Saling, Marketing, Accounting, Finance management, Monitoring, Managing, Directing n.k ambazo unaweza kufahamu eti naweza unitafute kupitia namba 0788037644/0756977698. mshahara usiwape shida mi nitafanya kazi lakini najua mshahara utaongezeka pale ambapo utenda wangu wa kazi utakapokuwa mzuri na value ambayo nitakayoingezea Organization au kampuni yako ndo dhamana yangu ya kuongezwa mshahara.
Nawaomba watanzania wenye kazi kama ya Saling, Marketing, Accounting, Finance management, Monitoring, Managing, Directing n.k ambazo unaweza kufahamu eti naweza unitafute kupitia namba 0788037644/0756977698. mshahara usiwape shida mi nitafanya kazi lakini najua mshahara utaongezeka pale ambapo utenda wangu wa kazi utakapokuwa mzuri na value ambayo nitakayoingezea Organization au kampuni yako ndo dhamana yangu ya kuongezwa mshahara.