WanaJF Habari zenu,
Nahitaji msaada wenu tafadhali.
Mimi ni mama (single mum) wa watoto wawili, ninawasomesha na kuwatunza peke yangu. Sikubahatika kwenda shule kwahiyo sina elimu hata ya sekondari,niliishia form 2 kutokana na matatizo ya ulimwengu.
Nilikuwa nafanya kazi kwenye duka fulani la nguo hapa mjini kwa bahati mbaya kutokana na ugumu wa maisha nikawa kwenye namba ya watu waliopunguzwa.
kwa sasa natafuta kazi yoyote kwenye retail industry kwa maana nina uzoefu kwenye industry hiyo pekee..nimewahi kufanya kwenye maduka kama mawili hivi ya nguo na viatu.
Mwenye msaada tafadhali anipm.Nitashukuru.
Natanguliza shukrani za dhati.
Mbarikiwe
Nahitaji msaada wenu tafadhali.
Mimi ni mama (single mum) wa watoto wawili, ninawasomesha na kuwatunza peke yangu. Sikubahatika kwenda shule kwahiyo sina elimu hata ya sekondari,niliishia form 2 kutokana na matatizo ya ulimwengu.
Nilikuwa nafanya kazi kwenye duka fulani la nguo hapa mjini kwa bahati mbaya kutokana na ugumu wa maisha nikawa kwenye namba ya watu waliopunguzwa.
kwa sasa natafuta kazi yoyote kwenye retail industry kwa maana nina uzoefu kwenye industry hiyo pekee..nimewahi kufanya kwenye maduka kama mawili hivi ya nguo na viatu.
Mwenye msaada tafadhali anipm.Nitashukuru.
Natanguliza shukrani za dhati.
Mbarikiwe