dunia tunapita
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 356
- 61
- Thread starter
- #21
Always, ukweli unauma e
u must be insane ...
u must be insane ...
Ni PM nikupatie shavu hapa home kwe2, ili uwe beki 3!
Acha dharau,awe beki 3 kwenu wkt we mwenyew huna kazi na ndo kaz yako hapo kwenu japo hulipwi
mkuu ntakuunganisha na rafiki yangu mwenye fani yako muwe mnabadilishana mawazo na kupeana michongo. wewe ni mgeni dar so ntakupa mwenyeji wako. but ana familia yake!. mia
Utapata tu kwa ushauri unaweza tembelea hotel za hapa mjini na kuulizia vacancy mkaa bure si sawa na mtembea bure THE GLORY OF GOD BE WITH YOU
utapata tu, hao wanaokukatisha tamaa ni wale waliosomea fani za uhasibu, it na nyinginezo ambazo kwa sasa ni sokolessss!
kwani mtoa mada kasema anataka ubeki 3,we kwanin umwambie aje umpe,wakat kasoma hotel management..hzo dharau.Sasa usinidharmingetaka ubek 3 si ningesema! Kaa huko.
Kwanza sio umejidharirisha ni umejidhalilisha,na pili sidhani kama lengo la huyu mtu ni mimi nimpe kazi au wewe umpe kazi bali hata ushauri wa nini AFANYE ILI APATE KAZI KIRAHISI ni msaada mkubwa.hii ni forum ni mahali watu wanakutana na kubadilisha mawazo,if u knw something that means we all know. Lets say juzi katika pita pita zangu nimekutana na tangazo la kazi somewhere kwenye hotel fulani,leo sijamwambia huyu mtu akaenda kujaribu bahati yake?