Natafuta kazi/kibarua

Natafuta kazi/kibarua

dunia tunapita

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
356
Reaction score
61
Nina cheti cha hotel management na nina uzoefu na kazi ila sasa nimehamia Dar natafuta kazi katika hotel au mgahawani. Kazi ya reception au waitres pia.
 
hapa Umejidharirisha Tu , Hakuna Atakae Kupa Kazi, Hapa Mabosi Wote Majanga!
 
Si kujidharirisha bhana, kaa huko. Lengo hapa si kukatishana tamaa, kama huwezi toa +ve idea usijidhalilishe hapa. Mtu nina shida kweli then waniambia najidhalilisha?
hapa Umejidharirisha Tu Nj, Hakuna Atakae Kupa Kazi, Hapa Mabosi Wote Majanga!
 
Mkuu Sio Nakukatisha Tamaa..Tena Kama Unafikiria Hivyo Samahani Sana
Mimi Na Wenzangu Wengine Tuna Matangazo Ya Kuomba Kazi Humu Bila Msaada, Sasa Ni Miezi!
 
utapata tu, hao wanaokukatisha tamaa ni wale waliosomea fani za uhasibu, it na nyinginezo ambazo kwa sasa ni sokolessss!
 
Wazuri sana wa kuoa hawa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hapa Umejidharirisha Tu , Hakuna Atakae Kupa Kazi, Hapa Mabosi Wote Majanga!

Kwanza sio umejidharirisha ni umejidhalilisha,na pili sidhani kama lengo la huyu mtu ni mimi nimpe kazi au wewe umpe kazi bali hata ushauri wa nini AFANYE ILI APATE KAZI KIRAHISI ni msaada mkubwa.hii ni forum ni mahali watu wanakutana na kubadilisha mawazo,if u knw something that means we all know. Lets say juzi katika pita pita zangu nimekutana na tangazo la kazi somewhere kwenye hotel fulani,leo sijamwambia huyu mtu akaenda kujaribu bahati yake?
 
Acha dharau,awe beki 3 kwenu wkt we mwenyew huna kazi na ndo kaz yako hapo kwenu japo hulipwi
 
mkuu ntakuunganisha na rafiki yangu mwenye fani yako muwe mnabadilishana mawazo na kupeana michongo. wewe ni mgeni dar so ntakupa mwenyeji wako. but ana familia yake!. mia
 
Utapata tu kwa ushauri unaweza tembelea hotel za hapa mjini na kuulizia vacancy mkaa bure si sawa na mtembea bure THE GLORY OF GOD BE WITH YOU
 
Back
Top Bottom