Jfrank
Member
- Aug 3, 2018
- 22
- 9
Nina shahada ya uhasibu kutoka IFM since 2015.
Naomba yeyote mwenye kufaham ni wapi kazi inaweza kupatikana kwa urahisi aweze kunipa taarifa kwani nishatuma barua nyingi sana za kuomba kazi bila mafanikio yoyote.
Au yeyote mwenye kibarua chake chochote anachoona anaweza kunipa nafasi asisite kufanya ivo kwani nina amini kwa kufanya kazi na mimi ofisi yako itakuwa imempata mtu sahihi kwa maendeleo ya ofisi kwani mimi ni mtu mkweli, mtiifu, mwadilifu na mwenye bidii katika kazi.
Vilevile nina ujuzi wenye kuleta tija katika kazi Kama vile ujuzi wa kwenda na wakati, ujuzi wa kutatua matatizo na kufanya maamuzi sahihi wakati sahihi, ujuzi wa kuongea na kuchangamana na watu pamoja na ujuzi wa kutumia kompyuta.
Kuhusu malipo hilo halina shaka kwani nipo tayari kufanya kazi kwa ujira wa kuanzia Tsh. 300,000 tu.
Kwa mawasiliano tumia namba 0714 343 856.
MUNGU awabariki sana.
Naomba yeyote mwenye kufaham ni wapi kazi inaweza kupatikana kwa urahisi aweze kunipa taarifa kwani nishatuma barua nyingi sana za kuomba kazi bila mafanikio yoyote.
Au yeyote mwenye kibarua chake chochote anachoona anaweza kunipa nafasi asisite kufanya ivo kwani nina amini kwa kufanya kazi na mimi ofisi yako itakuwa imempata mtu sahihi kwa maendeleo ya ofisi kwani mimi ni mtu mkweli, mtiifu, mwadilifu na mwenye bidii katika kazi.
Vilevile nina ujuzi wenye kuleta tija katika kazi Kama vile ujuzi wa kwenda na wakati, ujuzi wa kutatua matatizo na kufanya maamuzi sahihi wakati sahihi, ujuzi wa kuongea na kuchangamana na watu pamoja na ujuzi wa kutumia kompyuta.
Kuhusu malipo hilo halina shaka kwani nipo tayari kufanya kazi kwa ujira wa kuanzia Tsh. 300,000 tu.
Kwa mawasiliano tumia namba 0714 343 856.
MUNGU awabariki sana.