Natafuta kazi/kibarua

Natafuta kazi/kibarua

Sio mwizi tu ni tapeli balaa,hata sio msomi Huyu in jizi koko
Mkuu sijajua kabisa ni nini unakitaka juu yangu, ebu jaribu kuwa wazi. na kama una evidence za kuwa mi jizi tapeli plz wathibitishie wanajamii.. unaweza nielezea kdg ni vp wanifaham na utapeli wangu.. ebu acha kuvisha watu CV zisizo za kwao.

Ustaarabu hauuzwi dukani mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sijajua kabisa ni nini unakitaka juu yangu, ebu jaribu kuwa wazi. na kama una evidence za kuwa mi jizi tapeli plz wathibitishie wanajamii.. unaweza nielezea kdg ni vp wanifaham na utapeli wangu.. ebu acha kuvisha watu CV zisizo za kwao.

Ustaarabu hauuzwi dukani mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
ww si ndo uliweka tangazo LA imaraseco?nijibu kwanza.afu sio mm tu nnae kushutum kitafakali na yule mwarabu koko wako ,MPE salam zangu .
 
Ww tulia ,nikisema ni tapeli namaanisha,alijarbu kuniblock baada ya kumshtukia ,afu unakuja kutetea vtu hujui.tapeli huyu baadhi washamjua
Acha kumchafua mwenzio,kwahiyo kukublock ndo utapeli?. Si umesema kuna thread alianzisha humu mbona haipo?
Acha ujinga wa kishamba leta ushahidi sio bla blah onyesha hiyo thread ya kutangaza hizo ajira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF ina wanaume wenye wivu wa kike, kama jamaa ni tapeli leteni ushahidi na hiyo thread inayolalamikiwa mbona haionekani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF ina wanaume wenye wivu wa kike, kama jamaa ni tapeli leteni ushahidi na hiyo thread inayolalamikiwa mbona haionekani?

Sent using Jamii Forums mobile app
JF ina wanaume wenye wivu wa kike, kama jamaa ni tapeli leteni ushahidi na hiyo thread inayolalamikiwa mbona haionekani?

Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa nimekwambia tulia ,usirulie gari mbele ,unatetea unamjua ww?hyo thread ya imalaseko kama hukuiona tulia,cna mda mchafu wa kuitafta,waliyoiona wanaelewa kwamba huyu jamaa ni tapeli tu
 
Write your reply...Huu jamaa bwana alikuja humu ya Uzi Wa nafasi za kazi imalaseco supermakert ,kumbe wizi tuu ,akawa anashirikiana na mwarabu koko wake wa kariakoo et form ya kupata kazi ni laki,nilimwangalia yule mwarabu nusu nimpasue ubongo Ila basi next time atanyea debe central.na nyie mnaotetea wakt hamuelewi kitu ,tulienii.
 
Write your reply...Huu jamaa bwana alikuja humu ya Uzi Wa nafasi za kazi imalaseco supermakert ,kumbe wizi tuu ,akawa anashirikiana na mwarabu koko wake wa kariakoo et form ya kupata kazi ni laki,nilimwangalia yule mwarabu nusu nimpasue ubongo Ila basi next time atanyea debe central.na nyie mnaotetea wakt hamuelewi kitu ,tulienii.
Kwa kuwa umeshindwa thibitisha tuhuma zangu kwa wanafamilia wa JF wewe ni wa kupuuza kabisa,, na nakuomba jitahidi kuachana na hiyo tabia mkuu si nzuri machoni mwa watu japo kwako waiona sawa.

Na nakwambia hakika ningekuwa jinsi unavonisema ivo nisingepata watetezi kabisa mkuu,, penye ukweli daima uongo utakaa pembeni.

Sina kinyongo na wewe ila napenda tu kukusisitizia zaid na zaid kuwa ebu achana na hyo tabia,, cc wa kiume hatupo ivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha usitarabu hapa,Ww ni mwizi tena tapeli,ushafungua Uzi Mara mbili na ilaniblock ukiogopa ntakuumbua,acha wizi ,Fanya kazii.ntakuandama mpka uache wizi na utapeli,na huyo mwarabu koko wako mwambie bado nnae ,cku yake yaja ntawasweka central wote
Hao ndio wanaoichafua JF, asante Mkuu kwa kumripua huyu tapeli.
 
Huo uzi alioufungua upo wapi?. Jamaa anamsingizia kwa sababu zake maana ukichunguza I'd ya mleta uzi hakuna siku ambayo ameleta tangazo la ajira zaid zaid amekuwa akiomba ajira.
Huyu mshkaj ana wivu tu halafu anajiona mjuaji sana eti hana muda wa kutafuta huo uzi,sasa kama hataki kuleta ushahid akae kimya sio kuharibia watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...Huu jamaa bwana alikuja humu ya Uzi Wa nafasi za kazi imalaseco supermakert ,kumbe wizi tuu ,akawa anashirikiana na mwarabu koko wake wa kariakoo et form ya kupata kazi ni laki,nilimwangalia yule mwarabu nusu nimpasue ubongo Ila basi next time atanyea debe central.na nyie mnaotetea wakt hamuelewi kitu ,tulienii.
Weka ushahid acha ujinga wewe. Mwanaume hawi na wivu wa kisenge hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
****** ni ww mchambia kokoto usokua na haya fala sana ww,kama hujui kitu tuliza Makalio wako,au unashirikiana na huyo mwizi mwenzio?
Dah, yaani huyu jamaa kweli kakomaa kuwa mi mwizi, haya kweli maajabu! nimeshindwa kabisa kuelewa dhamira ya huyu bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuwa umeshindwa thibitisha tuhuma zangu kwa wanafamilia wa JF wewe ni wa kupuuza kabisa,, na nakuomba jitahidi kuachana na hiyo tabia mkuu si nzuri machoni mwa watu japo kwako waiona sawa.

Na nakwambia hakika ningekuwa jinsi unavonisema ivo nisingepata watetezi kabisa mkuu,, penye ukweli daima uongo utakaa pembeni.

Sina kinyongo na wewe ila napenda tu kukusisitizia zaid na zaid kuwa ebu achana na hyo tabia,, cc wa kiume hatupo ivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jamii, bado niko na huu uzi wngu,, naomben sana msaada wenu kwa mwenye A B C kuhusiana na huu uzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom