Natafuta kazi, Elimu kidato cha Nne

Natafuta kazi, Elimu kidato cha Nne

Nakushauri tu dada yangu nenda veta usitoe namba yako utachezewa humu kuna fataki .
 
tapeli wewe....wewe jamaa unataka umrubuni nini dada wa watu huku mwenyewe unatafuta kazi?

Ni daktari bingwa huyo tena alisema ana uzoefu kazini zaidi ya miaka 15 lakini mshahara wake haujafika hata 1m!!!!! Hatari sana!!!
 
habari naomba msaada natafuta kazi yoyote hata kama ni usafi wa maofisini supermarket nk.kwa anaejua naombeni msaada wenu
 
Wachafu ??!!
Kazi Ya Usafi??!!

Itabidi Tuwe Makini Na ID Zetu
 
hilo ni jina tu.WW soma kilichoandikwa kama huwez kaa kimya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom