Naombeni msaada wanajamvi ni msichana Nina umri wa miaka 20 Nina elimu ya kidato cha nne natafuta kazi yoyote ya halali itakayoniwezesha kupata kipato.
Nilianza kusoma chuo lakini sikufanikiwa kuendelea na masomo .
Nina pass nzur katika masomo yangu kwahiyo naomba msaada wenu.
Mungu awabariki .
Asanteni
Nilianza kusoma chuo lakini sikufanikiwa kuendelea na masomo .
Nina pass nzur katika masomo yangu kwahiyo naomba msaada wenu.
Mungu awabariki .
Asanteni