...kwa mfano mimi ni mkazi wa arusha lakini hadi leo sijawahi kuiona ofisi ya chadma mkoa arusha,kama ipo maelekezo tafadhali
Jamani wanajamii wenzangu mi nipo udom kama kuna mtu wa udom humu ndani na anajua mahali kadi zinapatikana anielekeze jamani
...kwa mfano mimi ni mkazi wa arusha lakini hadi leo sijawahi kuiona ofisi ya chadma mkoa arusha,kama ipo maelekezo tafadhali