Jamani wanajamii wenzangu mi nipo udom kama kuna mtu wa udom humu ndani na anajua mahali kadi zinapatikana anielekeze jamani
Unatafuta kadi ili uifanyeje?
muone nape amechapa nyingi tu atakupatia na posho juu, ila uanachama wa chadema unapaswa uuweke moyoni sio katika makaratasi kama wanamagamba.
i,kadi ya cdm ni rahisi sana kupata wewe subiri tu siku cdm wako kwenye hayo maandamano uchwara kadi ni bure
leo nimekudharau mpaka bac,japo ckuvishi wala kukulisha!ushauri tumia akili kufikirikadi ya cdm ni rahisi sana kupata wewe subiri tu siku cdm wako kwenye hayo maandamano uchwara kadi ni bure
kadi ya cdm ni rahisi sana kupata wewe subiri tu siku cdm wako kwenye hayo maandamano uchwara kadi ni bure
Cdm cha ovyo ata utaratibu wakadi hautambuliki,subiri sasahv wataiga mfumo wa ccm wa shina tawi na kata.wanaume kama mabint
kadi ya cdm ni rahisi sana kupata wewe subiri tu siku cdm wako kwenye hayo maandamano uchwara kadi ni bure