Natafuta kadi ya CHADEMA

Kiwembe

Member
May 23, 2011
11
0
Jamani wanajamii wenzangu mi nipo udom kama kuna mtu wa udom humu ndani na anajua mahali kadi zinapatikana anielekeze jamani
 
Wapo wengi humu ndani na bila shaka utaelekezwa chap. Shaka ondosha Kamanda!
 
muone nape amechapa nyingi tu atakupatia na posho juu, ila uanachama wa chadema unapaswa uuweke moyoni sio katika makaratasi kama wanamagamba.
 
Msaidieni kupata kadisio bla bla, lakini na wewe unayehitaji hiyo kadi uanachama wa kweli unaanzia moyoni!
Big up kwa kuchukua hatua!
 
muone nape amechapa nyingi tu atakupatia na posho juu, ila uanachama wa chadema unapaswa uuweke moyoni sio katika makaratasi kama wanamagamba.

acha upotoshaji!!!
kadi ni muhimu sana kwa mwanachama anayejitambua. mimi nimechukua leo na ninajisikia raha sana though nimekuwa nasupport CDM kwa muda mrefu sasa na nilikuwa najiona sijakamilika bado. Kuna considerations nyingi sana kwa mtu ambaye ni mwanachama ikiwa ni pamoja na kumtumia rasmi kwenye kazi za chama. Akina mama wengi walilijua hili very late wakati wa kupendekeza majina ya viti maalumu...umri ktk chama kilikuwa moja ya vigezo vikuu....wakati wa uchaguzi tulikosa mawakala sehemu nyingi kwa kuwa hakukuwa na wanachama wa kutosha na hivyo kushindwa kuwaamini wapita njia...

Kuwa mwanachama wa kadi na moyoni ni muhimu sana kwa kuwa inasaidia sana hata kupunguza uchakachuaji
 
kadi ya cdm ni rahisi sana kupata wewe subiri tu siku cdm wako kwenye hayo maandamano uchwara kadi ni bure
 
kadi ya cdm ni rahisi sana kupata wewe subiri tu siku cdm wako kwenye hayo maandamano uchwara kadi ni bure
i,
za ccm ndo rahisi kama nini, nilikua kijiji kimoja huku arusha walaya ya longido walikuwa wana gwawa mahindi ya msaada, unapewa kadi ya ccm ndo unachukua mahindi
ccm huwa wanalazimishia kadi zao na siku hizi ukichukua kadi ya ccm unapewa buku 5.
 
Cdm cha ovyo ata utaratibu wakadi hautambuliki,subiri sasahv wataiga mfumo wa ccm wa shina tawi na kata.wanaume kama mabint
 
kadi ya cdm ni rahisi sana kupata wewe subiri tu siku cdm wako kwenye hayo maandamano uchwara kadi ni bure

aahh!!! Makupa JF Senior Expert Member Lugha ya staha kwako ni mzigo Unawaambia WTZ wana maandamano uchwara sijui unavigezo gani ? Mungu akuponye na chama chako cha " zidumu fikra za m/kiti "
 
nakubali kaka, tena ukiwanayo unakuwa na raha na ujasiri wa kuwa mwanafamilia, mi yangu imeibiwa pamoja na walet nifanyaje nipate nyingine?
 
nhakubali kaka, tena ukiwanayo unakuwa na raha na ujasiri wa kuwa mwanafamilia, mi yangu imeibiwa pamoja na walet nifanyaje nipate nyingine?
 
Kiwembe upo udom ipi social,inform,education or medicine maana udom imemezwa chadema twambie uko wapi tukuelekeze.
 
Ina maana we hapo udom huonagi watu wanavaa magwanda ya chadema? Siamini km ni kweli unataka kadi au umeamua kutuchora sio! U better be.
 
yaani kadi ya chama kikubwa kama chadema inatafutwa kwa manati namna hii?kwli hii inapaswa kuwa changamoto kwa wanachadema kwamba hawajulikani walipo,kwa maana ya ofisi,maana kama wangekuwa wanajulikana walipo mtu asingehangaika kutafuta kadi.
kwahiyo chadema wasikae tu kupanga operesheni sangara,wakae wakfikiria na kupanga pia baada ya operesheni mwitikio watakaoupata wanauridhisha vipi kwamba kweli wamejiandaa kushika hatamu wananchi wakiwakabidhi.
chadema fungueni matawi na yatangazwe wananchi wajue wapi pa kuwapata,kwa mfano mimi ni mkazi wa arusha lakini hadi leo sijawahi kuiona ofisi ya chadma mkoa arusha,kama ipo maelekezo tafadhali
 
kadi ya chadema haitafutwi kwa kuropoka Jf. Kuna taratibu za kufuata ili uipate! Km unania ya dhati zaid ya hizi jokes nenda ktk tawi ama ofisi yoyote ya CDM ya karibu ukachue. NB. Punguza mizaha!
 
Back
Top Bottom