Natafuta IT/Computer Geek Partner

Natafuta IT/Computer Geek Partner

Habari Wanajamvi,,,,
Natafuta IT partner awe anaufahamu wa programming na hardware maintanance. Iwe ufahamu mkubwa au mdogo ila awe anajua computer, nikimaanisha awe anaidea ya webdesign, ufahamu wa programming language kati ya hizi Java, Javascript, PHP, etc

Kikubwa zaidi awe self motivated na apende anachofanya,,Ndoto Kubwa Ni Muhimu Pia
Umri miaka 22 - 26
Mahali Dar Es Salaam

Sina pesa kama mtu amewazia yakuwa nataka kufungua biashara,,,nataka mtu mwenye skills kama zangu ili tufanye kitu kitakachotuingizia pesa,,,Kuzunguka na Bahasha Za Kaki Sitaki

+255684141476

vipi Classmate wako?
 
Habari Wanajamvi,,,,
Natafuta IT partner awe anaufahamu wa programming na hardware maintanance. Iwe ufahamu mkubwa au mdogo ila awe anajua computer, nikimaanisha awe anaidea ya webdesign, ufahamu wa programming language kati ya hizi Java, Javascript, PHP, etc

Kikubwa zaidi awe self motivated na apende anachofanya,,Ndoto Kubwa Ni Muhimu Pia
Umri miaka 22 - 26
Mahali Dar Es Salaam

Sina pesa kama mtu amewazia yakuwa nataka kufungua biashara,,,nataka mtu mwenye skills kama zangu ili tufanye kitu kitakachotuingizia pesa,,,Kuzunguka na Bahasha Za Kaki Sitaki

+255684141476

Nakukubali sana dogo kwa kujitambua ni nini unahitaji kufanya. Kiukweli ni hii hali ngumu tu ya maisha hapa Bongo ndio watu tunahangaika kutafuta kuajiriwa na kwenda kupewa vimishahara uchwara. Komaa dogo utatoka tu, kama kweli unafahamu na unaipenda Programming basi juwa kabisa utajiri unatembea nao kichwani, usikubali kwenda kuajiriwa kwenye vikampuni vya ajabu ajabu ambavyo unawafanyia project moja wanaingiza millions of money halafu wao wanakulipa laki sita au laki nane kwa mwezi.
 
Hiki ndo tulichobakiwa nacho self employment ukimbwela kusubir ajila utaishia kujaza choo tuu na kukaa sitting room kuangalia series za kikorea
Hongera brother good idea
 
Back
Top Bottom