mkuu, sis pacificamarine, tutakuagizia hizi phone original toka ng'ambo na zote zinapatikana kwenye soko la dunia. Itabidi usubiri kama wiki mbili hivi kabla haijakufikia Dar. Ikifika Dar tutakueleza ili ukalipie na kuchukua simu yako. Ukipenda mpya swa, ukipenda used napo sawa au ukipenda refurbished napo sawa tu. Tuandikie kwenye : pacificamarine@yahoo.com ili tufanye biashara ya uhakika na wewe
Mzee mimi nina N900 nimenunua mwezi wa 9 mwaka huu,kama unahitaji nisubiri tarehe 30 nitakuwa mwezi huu wa 12 ila bei yake nimenunua rial ya oman 160 kwa hiyo tazama kwa Tshs inakuja ngapi,ina waranty ya 1year kama vp nitafute hapo +96892321290 nipe namba yko nkifika Dar ntakucall
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.