natafuta hostel, dar kwa ajili ya kuishi mieiz miwili ya august na september, maeneo ya kawe, msasani, moroco, kinondoni , mwananyamala, au popote pale mitaa inayokaribiana na hiyo, tusaidiane wapendwa natafuta mahali pa kuish kwa ajili ya field.
natafuta hostel, dar kwa ajili ya kuishi mieiz miwili ya august na september, maeneo ya kawe, msasani, moroco, kinondoni , mwananyamala, au popote pale mitaa inayokaribiana na hiyo, tusaidiane wapendwa natafuta mahali pa kuish kwa ajili ya field.
Nenda Pale kanisa la Lutherani Magomeni wana Hostel kwa bei nafuu sana. Ukikosa waweza kusogea pale Msimbazi centre pia wana Hostel nzuri zaidi ila bei yao inaongezeka kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.