Elijah
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 1,663
- 424
Umevinunua wapi..........?.......au unaviuza.........?........
Naviuza,ila hata ukitaka nikupeleke nilipovichukua, ruksa!
Umevinunua wapi..........?.......au unaviuza.........?........
We preta wew. ..!!!
Mina faidhina!
Ila Eid ni kesho bwana.....Naona mwezi umegoma....
Utakuja lakini?
Eid Mubarak na kwenu pia!!!
Anaweza kuwa na misuli na huku ana pumuliwa kichogoni
Mhhhhhhhhh,
Namwona Mama wa logistics Preta akitafuta mara viatu, mara mkanda, mara ohhhhhhhhh!!!
Hebu nitafutie mupenzi wangu Lily Flower anambie kama huyu siyo nyuki wa mashine...lol!!
Vinginevyo, twende zetu Monduli kwanza tukahani ile "safari ya matumaini hewa"....!
Babu DC!!
Kwa yeyote yule anayefahamu sehemu nitakapovipata........tafadhali anijulishe.........
Ni viatu ambavyo ni vyepesi........na havichoshi........
asanteni sana.............
Hebu funguka vizuri, unataka viatu au mwenye hivyo viatu?Kwa yeyote yule anayefahamu sehemu nitakapovipata........tafadhali anijulishe.........
Ni viatu ambavyo ni vyepesi........na havichoshi........
asanteni sana.............
Na huo mkanda sijui ni wa ngozi........mzuri kweli..........
tukitokea wapi kamanda...........?.......
Kwa yeyote yule anayefahamu sehemu nitakapovipata........tafadhali anijulishe.........
Ni viatu ambavyo ni vyepesi........na havichoshi........
asanteni sana.............