Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 2,707
- 4,433
Hivyo vitabu sio rahisi kuvipata hivi hivi bila kuvinunua kwahiyo usikute yeye mwenyewe amevinunua na ni mfanyabiashara anaonekana kwahiyo ndiyo maana yeye mwenyewe anauza ili kupata faidaMzee huu uzi ni wa kusaidiana sio biashara, unayumba sana. Ni kweli nakitafuta hiko kitabu lakini eti nitoe 5k round hii never ever!.
Anyway utawapata watakaokuja. Sisi wengine tumesomea uchumi ule wa ndani kabisa