Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

Mkuu unahisi? Unajisikiaje hadi kuhisi una upungufu wa B12?

Miezi kama 4 ilopita nilikuwa nina hali mbaya sana nilikuwa siwezi hata kutembea, miguu ilikuwa dhaifu sana na nilikuwa nina ganzi kwenye miguu na mikono. Niliendaga hospitali nikaambiwa nitumia vitamin b complex, ila sasa hiyo dawa niliandikiwaga lakini sikuipata, nikawa natumia b complex za kawaida tangu wakati huo. Changamoto ni kwamba hali yangu sasa imeimarika kiasi ila sio kwamba nimepona kabisa, ganzi imepungua lakini haijaisha, ndo maana nikawa nahitaji high dose ambayo ndo hiyo nimeiona wengi wanaishauri. Ni hayo tu mkubwa
 
Msafiri pharmacy,ipo baada ya kuvuka daraja la kwenda hospital ya rufaa Morogoro.Pita hapo ulizia
 
Miezi kama 4 ilopita nilikuwa nina hali mbaya sana nilikuwa siwezi hata kutembea, miguu ilikuwa dhaifu sana na nilikuwa nina ganzi kwenye miguu na mikono. Niliendaga hospitali nikaambiwa nitumia vitamin b complex, ila sasa hiyo dawa niliandikiwaga lakini sikuipata, nikawa natumia b complex za kawaida tangu wakati huo. Changamoto ni kwamba hali yangu sasa imeimarika kiasi ila sio kwamba nimepona kabisa, ganzi imepungua lakini haijaisha, ndo maana nikawa nahitaji high dose ambayo ndo hiyo nimeiona wengi wanaishauri. Ni hayo tu mkubwa
Ulipata mkuu? Pole sana.
 
Back
Top Bottom