Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Pamoja na mambo mengine mimi najishughulisha na uchimbaji nilianza na uchimbaji visima lakini sasa nataka kupanua shughuli zaidi kwenda kwenye madini.
hivyo natafuta hand held devices detector zenye uwezo wa kubaini umbalia na mahali yalipo madini mpaka kufikia kina cha mita 30 hadi 35 na chini ya hapo.
ziwe na uwezo wa ku detect gold; silver; gemstones nimeambiwa huko Zimbabwe hivi vitu vinapatikana nafuatilia lakini nikaona hapa JF ni rahisi zaidi.
Pia katika kuendeleza mradi wangu wa visima natafuta hand hled devices pia za ku detect maji chini ya ardhi katik umbali huo huo 30 to 35 meters.
huku kwenye mtandao nakuna na sources mbali mbali baadhi leads nimefanya mawasiliano nao lakini hawajarespond.
hivyo natafuta hand held devices detector zenye uwezo wa kubaini umbalia na mahali yalipo madini mpaka kufikia kina cha mita 30 hadi 35 na chini ya hapo.
ziwe na uwezo wa ku detect gold; silver; gemstones nimeambiwa huko Zimbabwe hivi vitu vinapatikana nafuatilia lakini nikaona hapa JF ni rahisi zaidi.
Pia katika kuendeleza mradi wangu wa visima natafuta hand hled devices pia za ku detect maji chini ya ardhi katik umbali huo huo 30 to 35 meters.
huku kwenye mtandao nakuna na sources mbali mbali baadhi leads nimefanya mawasiliano nao lakini hawajarespond.