Natafuta girlfriend anaejitambua na mkweli

Natafuta girlfriend anaejitambua na mkweli

we nae ushatuchosha kudadadeki zako thread ya 20 hii sasa kila siku unatafuta dem anaejitambua we mbona hujitambui, thread zako zimejaa love connect znahamishwa sa sijui huwa unajua zmepotea...unatukanyagia waya bwana alaaaah!!!!
 
we nae ushatuchosha kudadadeki zako thread ya 20 hii sasa kila siku unatafuta dem anaejitambua we mbona hujitambui, thread zako zimejaa love connect znahamishwa sa sijui huwa unajua zmepotea...unatukanyagia waya bwana alaaaah!!!!

Hahahahaaaa, mbona wako mtaani wengi tu, ukiona mtu kafikia hatua ya kupost kitu kama hii, kwanza yeye mwenyewe hajiamini na hajitambui, labda angesema anataka kulelewa, mchumba!!!!huko mtaani huwaoni?unatafuta hawa usiowajua humu MMU majanga.
 
Hahahahaaaa, mbona wako mtaani wengi tu, ukiona mtu kafikia hatua ya kupost kitu kama hii, kwanza yeye mwenyewe hajiamini na hajitambui, labda angesema anataka kulelewa, mchumba!!!!huko mtaani huwaoni?unatafuta hawa usiowajua humu MMU majanga.

Yani hii thread sijui ya ngapi aaah utadhan mtaani kwao wanaishi wanaume tu....
 
Back
Top Bottom