Natafuta Generator la kununua .

Natafuta Generator la kununua .

Sh laki moja ya kenya au ya Tanzania? value for money haiendani na unachohitaji mkuu,jipange unune kitu genuine

kuna kitu kingine nashindwa kukielewa, hivi watu mnafikiri jenereta linauzwa mamilioni mangapi??? jenereta kubwa la kuweza kuwasha nyumba nzima bei ya dukani ni sh laki 6 tu. jenereta la kawaida lenye uwezo kama ninaotaka bei dukani ina-range 250 hadi 350. vi-jenereta vidogo saizi ya mwisho bei ni 150 tu hadi 120. sasa why isiwezekana kulipata jenereta hilo la saiz ya kati kwa sh laki moja? au kama pesa haitosh tukaongea tukakutana mahali! watu msipende kuongea kama hamjui bei ya vitu!
 
kuna kitu kingine nashindwa kukielewa, hivi watu mnafikiri jenereta linauzwa mamilioni mangapi??? jenereta kubwa la kuweza kuwasha nyumba nzima bei ya dukani ni sh laki 6 tu. jenereta la kawaida lenye uwezo kama ninaotaka bei dukani ina-range 250 hadi 350. vi-jenereta vidogo saizi ya mwisho bei ni 150 tu hadi 120. sasa why isiwezekana kulipata jenereta hilo la saiz ya kati kwa sh laki moja? au kama pesa haitosh tukaongea tukakutana mahali! watu msipende kuongea kama hamjui bei ya vitu!

Sawa sawa Mkuu. Ukipata zuri linalofanya kazi usiache kutujulisha.
 
hivi vitu ni vya kawaida sana mbele/urraya/marekani, kuna watu wana vitu hawavihitaji tena sababu wamesha-upgrade au wanahama nchi au mkoa kusafiri navyo usumbufu, sijui ni kipi ambacho huelewi??

humu jf nimeshawahi pata tv 14' kwa elfu30 tu, nilipata king'amuzi cha star times kwa elfu30, sio kama nawakebehi walioniuzia ni kwamba walikuwa hawavihitaji tena, na hadi leo vinafanya kazi vizuri tu.

na sio kama ni najipangia bei, nafikir ni kawaida ukitaka kitu muhimu kusema pesa iliyopo mkononi, ulitaka nisiseme bei ya kuanzia?? kama huna piga kimya, watakuja wenye navyo kama pesa haitoshi tutaongea na tutakutana mahali tu.

Mkuu usio na kihelehele una bahati sana ukipata jenereta la laki 1 na mie nitafutie iphone 5 kwa elfu 50,senki yuu veri mache.
 
kuna kitu kingine nashindwa kukielewa, hivi watu mnafikiri jenereta linauzwa mamilioni mangapi??? jenereta kubwa la kuweza kuwasha nyumba nzima bei ya dukani ni sh laki 6 tu. jenereta la kawaida lenye uwezo kama ninaotaka bei dukani ina-range 250 hadi 350. vi-jenereta vidogo saizi ya mwisho bei ni 150 tu hadi 120. sasa why isiwezekana kulipata jenereta hilo la saiz ya kati kwa sh laki moja? au kama pesa haitosh tukaongea tukakutana mahali! watu msipende kuongea kama hamjui bei ya vitu!

Kumbe unayazungumzia hayo ya Hu Ji xi ping? Ha ha ha ha ha ha ha.
 
kuna kitu kingine nashindwa kukielewa, hivi watu mnafikiri jenereta linauzwa mamilioni mangapi??? jenereta kubwa la kuweza kuwasha nyumba nzima bei ya dukani ni sh laki 6 tu. jenereta la kawaida lenye uwezo kama ninaotaka bei dukani ina-range 250 hadi 350. vi-jenereta vidogo saizi ya mwisho bei ni 150 tu hadi 120. sasa why isiwezekana kulipata jenereta hilo la saiz ya kati kwa sh laki moja? au kama pesa haitosh tukaongea tukakutana mahali! watu msipende kuongea kama hamjui bei ya vitu!
asante mkuu, nimekuelewa. Sorry kama umekwazika kwa comment yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom