Natafuta gari

mkuu kaniki, kuna mshikaji wangu anauza nissan terano,cc 2700 ya 99 imetoka uk, kaiweka bond sababu pesa ya ushuru kakwama, yani kama utapenda unaweza kwenda hiona hata kusajiriwa bado, yani kwa bei hiyo anakupa bila ya pingamizi na utakuwa umemsaidia hela ya kulipia ushuru gari ingine, deal ni kwenda kuiona ukiipenda mnakwenda lipa ushuru na anakukabidhi gari yako, sina picha ningekuwa nazo ningeweka lakini gari ni bomba hautapoteza muda kwenda hiona.
 
tafadhali wakuu kama kuna yeyote anayeweza kusaidia wangu kupata wateja tutashukuru, zipo gari mbili moja ni truck scania 144 ni v8 engine ya 98 pamoja na hiyo nissan terano 2.7TD zimetoka uk hata namba bado ziko bond sababu hela ya ushuru hakuna. kwenye wengi hakuharibika jambo.
 
mkuu kaniki, kuna mshikaji wangu anauza nissan terano,cc 2700 ya 99 imetoka uk, kaiweka bond sababu pesa ya ushuru kakwama, yani kama utapenda unaweza kwenda hiona hata kusajiriwa bado, yani kwa bei hiyo anakupa bila ya pingamizi na utakuwa .

Sasa ndugu yangu, bei aliyosema ni gari iwe imelipiwa ushuru wote na wewe unataka kuumuzia kwa bei hiyo gari amayo bado haijalipiwa ushuru. Itakuwaje?
 
Sasa ndugu yangu, bei aliyosema ni gari iwe imelipiwa ushuru wote na wewe unataka kuumuzia kwa bei hiyo gari amayo bado haijalipiwa ushuru. Itakuwaje?

katika hiyo hiyo 15m itatoka pesa ya ushuru, siyo kwamba atalipia ushuru extra, yani kila kitu kipo tayari ndiyo maana nikasema ni kwenda kulipa na kukabidhiwa gari, hamna sijui port charges yeyote ni ushuru tu.
 
Naomba u-specify ni gari aina ya saloon au SUV(Gari kubwa).na kama unahitaji 4WD au la.Weka malezo ya kutosha tafadhali.
 
Back
Top Bottom