Prof Kibogoyo
Senior Member
- May 31, 2016
- 112
- 164
Habari zenu wakuu, kutokana na nature ya kazi ninayofanya inabidi nipate gari ndogo itakayonisaidia.
Kuna eneo ambalo ninalo, nimelikata viwanja, maeneo ya kigamboni, changamoto inakuja kuwapokea wateja na kuwapeleka site. Ni km 1toka barabara kubwa ambapo hushukia wateja, nataka linakuwa hapo kupokea wateja kwa wale wanaokuja kwa kutumia usafiri wa umma.
Bajeti yangu kwa siku ni elfu 30. Na aina ya gari, iwe Ist, Raum, Carina ti, n.k
Ushauri napokea, kejeli napokea pia. Karibu.
Kuna eneo ambalo ninalo, nimelikata viwanja, maeneo ya kigamboni, changamoto inakuja kuwapokea wateja na kuwapeleka site. Ni km 1toka barabara kubwa ambapo hushukia wateja, nataka linakuwa hapo kupokea wateja kwa wale wanaokuja kwa kutumia usafiri wa umma.
Bajeti yangu kwa siku ni elfu 30. Na aina ya gari, iwe Ist, Raum, Carina ti, n.k
Ushauri napokea, kejeli napokea pia. Karibu.