Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,145
- 88,811
Bei ya iPhone 17 Pro Max 1TB ya dada ako Depal.Nissan X trail ndo 5M?
Bei ya iPhone 17 Pro Max 1TB ya dada ako Depal.Nissan X trail ndo 5M?
Anapata vizuriToyota brebis, altezza na x trail sidhani kwa bei hiyo kama utapata
Ahsante🙏
Nenda Instagram utapata hata gari la laki na ishirini ila akili mkichwa!NATAFUTA GARI — BAJETI MIL. 5.
Habari zenu wakuu,
Natafuta gari nzuri isiyo na matatizo yoyote ya kiufundi wala kisheria. Bajeti yangu ni hadi TSh 5,000,000.00.
Ningependa gari aina zifuatazo (kipaumbele):
- Toyota Brevis
- Toyota Altezza
- Nissan X-Trail
Gari iwe katika hali nzuri ya matumizi, iwe imepitia service vizuri, na iwe na nyaraka zote muhimu.
Kama unayo au unamfahamu mtu mwenye gari inayolingana na maelezo haya, tafadhali niPM.
Umepata mkuu! 🤝🏽Khaaaa aiseee sawa seran ntakucheki nahitaji ya 500k😂😂😂🙌🙌🙌
Sasa si uniDm namba yako ya WhatsApp mimi nikufuate WhatsAppX Trail ipo New Model Number DM..... Inataka 10M
**** Alteza number BRR inataka 4.8M
Zote ziko mwanza ukiwa serious ni simu Moja tu chuma inakufikia ulipo. Zimenyooma engine safi gearbox safi
Kuna yule jamaa Instagram anaitwa bingwa wa magari used huenda akawa nazo broBado sijapata mkuu naskilizia
Kwamba zina matatizo sanaaa?Yah mkuu ndo maana nimezitaja hizo, wengi humu hawajui hizo gari zikiwa mkononi
Gari zetu zingine ziko kwa Abdul. Muambie akupe moja na wewe utumie!NATAFUTA GARI — BAJETI MIL. 5.
Habari zenu wakuu,
Natafuta gari nzuri isiyo na matatizo yoyote ya kiufundi wala kisheria. Bajeti yangu ni hadi TSh 5,000,000.00.
Ningependa gari aina zifuatazo (kipaumbele):
- Toyota Brevis
- Toyota Altezza
- Nissan X-Trail
Gari iwe katika hali nzuri ya matumizi, iwe imepitia service vizuri, na iwe na nyaraka zote muhimu.
Kama unayo au unamfahamu mtu mwenye gari inayolingana na maelezo haya, tafadhali niPM.
au gari lingine kati ya hili, ambalo linafaa bajeti yangu (hadi TZS 5. 5M)Wasiliana na Mchengerwa au Wanu!Mawasiliano yake napataje